Baada ya kugundua kuwa Tunguli zenu na Mzee wa Msata zimekwama ndio nimekuwa hansome[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahahaha handsome wangu usijikatae basiii
....ndio ujue sasa kuanzia leo, na huu ufupi wangu sasa! ngoja nifate ushauri wako nitafute ela tu [emoji17]Kabisa ila nilikuwa sjui kama wewe ni mbaya kiasi hiki khaaaaa
Nawapa moyoKweli kabisaaaq
MwaaaaahIla wewe khaaaa acha kuninyanyasa
Unataka uwe spair tairi
Tangu lin umeanza hii tabia kwan?Sitak nasema
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Hahahahha wewe handsome bhn hata wifi anajua hilo
Khaa mwanaume wa hvo wa nini sasaHahahha na kweli sura mbaya +ubahili chaiiiii utakosa demu