Siyo kwamba siwapi salami, nawapa hi tu ile fresh. Ila shida ni wakikuona tu wanakaa kimya macho yote kwako, hiyo inaboa sana.kiujumla tz nzima wako hivyo na uliwapa salam wanaitika kimanzi manzi
Ndiko ninakoelekeaWatongoze
Soma mada uelewe vizuri, una ushamba mwingi mno kaka.Sawa, we si mkubwa mwenzake? Endelea kumpa moyo kuhusu malalamiko yake. Na pia akueleze n wapi ukikuta watu wamekaa inabd wasimame waanza kukupulizia mavuvuzela kama umewaajiri
Sasa shida ni kukodoa macho kodooo! Yaani wanakaa kimya ilhali walikuwa wanaongea.Nijuavyo unayepita unatakiwa kusalimia uliowakuta
Salama siyo tatizo. Shida ni kwa nini wakae kimya ilhali walikuwa wanaongea? Yaani wanakuangalia mpaka unakotokomea.Lakini mkuu siyo kwa ubaya!
Utaratibu mzuri wa kuishi mtaani na watu ni ukipita kuwapa hi sema hata “Oya washkaji vipi ” kisha songa zako mbele,hawa hawa ndiyo kama unakoelekea siyo kwema watakwambia au unakoenda ukikwama kwa lolote utawauliza watakuelekeza.
Kwani salamu bei gani na pumzi hulipii?
Hatuchambani! Wanaume tunaelekezana kama hivi. Unlike you girls!Wanaume acheni kuchambana, kavipi mtafutane mzichape.....
JF ya sasa[emoji848][emoji25]Yaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, ilhali walikuwa wanaongea, wanakuangalia tu kama mademu vile. Mnakera sana. Mnakuwa kama mashoga!
Mimi nasalimia sana tu, salamu siyo tatizo. Shida ni wakikuona hata kama hamjuani, wanakaa kimyaaa ilhali walikuwa wanaongea, na wanakuangalia usoni. Sasa huu si ushamba?!Ni watu hawayajui maisha ya mtaa tusiwalaumu,yupo jamaa mmoja mtaani kwetu ana gari yake Audi Q7 akishaingia mtaani anashusha vioo anasalimia kila anayepata nafasi ya kupita pembeni ya gari yake.
Kibongo bongo ukileta uzungu mwingi huwezi kueleweka kuishi kijamaa inapendeza zaidi.
Ewaaaaaa! Wewe umenielewa. Salamu siyo shida, hii ni kero sana. Sasa simama na demu uongee naye ndo kabisa macho kama yote. Huu usela mavi kabisa yaani!N
Na wengine unapita unawapa hi wanatafakari kuitikia au hawaitikii kabisa au wengine wanajifanya wapo busy[emoji3][emoji3]iyo mi mwenyewe uwa siipendi kinoma, wanakuwa kama sisters du wanaosubiria kupewa tu salamu na sio kutoa
Pamoja na hayo hakuna alitewahi kufariki akaachwa bila kuzikwa na watu, ishu zingine ni kukubaliana na hali halisi kuwa huwezi kumridhisha kila mtu humu duniani.Hyo ni tabia ya kichoko. Mtoto wa kiume lazma usalimie masela hata kama huwajui. Wanaume ndo wanaochimba kaburi
Kabisa! Hi mimi nawapa mbona? Shida ni hizi tabia, yaani kundi lote linakuelekezea macho wewe, ilhali we' unapita zako tu na umewapa hi kiroho safi.salamu sio lazima wewe... kuchimba kaburi ni wewe na moyo wako maana hata usipochimba watachimba wengine.
Usisikitike Mshana Jr!JF ya sasa[emoji848][emoji25]View attachment 2351042
Asante sana[emoji1545][emoji2827]Usisikitike Mshana Jr!
Yaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, ilhali walikuwa wanaongea, wanakuangalia tu kama mademu vile. Mnakera sana.
Wanakera sana wapuuzi hawa. Na hasa waone unaongea na msichana yaani hawa kenge nitawakomesha one dayUnapata wapi muda wa kufuatilia Hilo mkuu?
WaPotezee