Wanaume wenye upara hatarini zaidi kupata maradhi ya moyo

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau.

Utafiti uliofanywa na Idara ya magonjwa ya moyo barani Ulaya umeonyesha kuwa wanaume wenye vipara na walio na nywele za rangi ya kijivu wapo katika hatari kubwa zaidi ya kupata maradhi ya moyo kuliko wanaume wenye nywele kichwani.Utafiti huo ulihusisha vijana 2,000 na ulifanyika nchini India.

Source: BBC
 
Halafu wana tabia ya kupenda kugombea urais mf Magu na Lowassa
 
kwa hiyo sisi wenye upara tufanyeje?
Ingekuwa kipara ni cha kutengeneza (artificial) ungeshawishi hoja yako ila kwa sasa kipara hutolewa na mungu (Naturally comes) HAKUNA KITU KAMA HICHO. Mungu huwa hakosei kihvyo eti aje mpya (km ccm inavyokosea wanaanza ati ccm_mpya). Alan hayuko hivyo.
 
Doooh, tafiti hizi hatari sana!
 

Hakuna utafiti hapo, tunakuwa na tunazeeka halafu tuna kufa binadamu wote. This is cycle of life. Tukiwa na stress au genetics genes tunaweza kupata mvi au kipata tukiwa wadogo. The rest is just natural for example most of us we all be dead in 60 years times. And young ones and people are not yet to be born will take over. Cycle of life moves us all on.
 
Utafiti umefanywa na idara ya utafiti huko Ulaya, lakini umefanyika India. Sasa hiyo sample inajitosheleza kuuelezea ulimwengu wote?
 
Wahindi lazma wapate ugonjwa wa moyo maana waanakula mafuta kwa wingi sana & pilipili san
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…