Wanaume wenzangu dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti

Wanaume wenzangu dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
6,764
Reaction score
896
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..

1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.

2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.

3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.

4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.

5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..

Tuzinduke jamani na wake zetu
 
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..

1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.

2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.

3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.

4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.

5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..

Tuzinduke jamani na wake zetu

Pole mkuu inaonekana yamekukuta
 
aibu!
bwana wee kupitiwa mbavuni ni comon siku hizi....just brace urself!!!
 
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..

1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.

2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.

3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.

4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.

5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..

Tuzinduke jamani na wake zetu

Oooh Chatu! ebu usiwatishe wenzio unajua wakati mwengine ukirudi nyumbani umechoka hata kumtizama mwenzio unaona tabu.
 
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..

1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.

2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.

3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.

4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.

5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..

Tuzinduke jamani na wake zetu

Siku nyingine jenga tabia ya ku-acknowledge kazi za wenzako kwa kuweka source ya hayo maelezo. Au wewe ndiye ulieandika hayo kwenye lile gazeti la udaku?
 
Hizi ni dalili. Na tiba yake ikoje? Halafu why this issue of cheating has become a big problem now? Men,what role do we play? Vinginevyo tukae kimya tu maana kulalamika sana haina maana kuna watu wanatusikiliza
 
Kwanini akimbilie kuoga? Cku hzi self contained rums za kumwaga tu!
 
Ukimchunguza kuku, huwezi kumla...

Ushauri, tusihangaike kupekenyua kwani mara nyingi huwa hatuna cha kufanya baada ya kugundua.... do it if only you are perpared to leave your wife, otherwise ni kujisumbua

afterall ukishaanza kuhangaika hivyo hata uwezo wa ku-do the needful unakufa au kupungua sana

openness is key
 
Ukimchunguza kuku, huwezi kumla...

Ushauri, tusihangaike kupekenyua kwani mara nyingi huwa hatuna cha kufanya baada ya kugundua.... do it if only you are perpared to leave your wife, otherwise ni kujisumbua

afterall ukishaanza kuhangaika hivyo hata uwezo wa ku-do the needful unakufa au kupungua sana

openness is key

...naaam NENO juu ya mstari mzee mwenzangu! ...presha za kujitakia maisha yenyewe haya
ya kubembelezea, aaarrrgghh!
 

...naaam NENO juu ya mstari mzee mwenzangu! ...presha za kujitakia maisha yenyewe haya
ya kubembelezea, aaarrrgghh!
we acha tu, kuna mtu kakimbilia tigo kuprint statement ya mkewe, kahonga pesa kibao, kupewa statement puh! yuko aga khan analalama, hata wewe mshkaji, hata wewe uncle?? yani kumbe hata joe alikua hajamalizana nae??, Ha!! kumbe wife ansagana na mary??? hivi kumbe neighbor nae ansalandiank... halafu anajiuliza... lakini mbona hajawahi nitendea ubaya??

sasa hivi anakesha Bar, kazi kaacha.... yuko tena anategemea salari ya huyohuyo mamsap

you dont need to go that way kama huna kifua.... na hata ukiwa nacho ujue ulishajiandaa kusepa, with or without findings
 
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..

1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.

2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.

3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.

4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.

5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..

Tuzinduke jamani na wake zetu
Mkuu mwanamke anayeonyesha dalili hizo huyo ni amacha,maveteran waliokubuhu huwapati kwa dalili hizo,washatumika ni hatari,akirudi anakauka,keshatia ndimu huko down na ukitaka utapewa vile vile tena kwa miguno kibao,usicheze na wanawake aisee.
 
muhimu ukiona mwanaume mwenzio 'anachapiwa' usimuone *****.......
hakuna ***** wala mjanja kwenye haya mambo....
 
we acha tu, kuna mtu kakimbilia tigo kuprint statement ya mkewe, kahonga pesa kibao, kupewa statement puh! yuko aga khan analalama, hata wewe mshkaji, hata wewe uncle?? yani kumbe hata joe alikua hajamalizana nae??, lakini mbona hajawahi nitendea ubaya??

sasa hivi anakesha Bar

you dont need to go that way kama huna kifua.... na hata ukiwa nacho ujue ulishajiandaa kusepa, with or without findings

...si ndio! halafu makali yake yanakata both ways bana...
nimefikia mahala maishani mwangu sijisumbui tena kumchungua binaadamu...
wengine tukiweka dalili za kusalitiwa humu, wengine wataenda tembeza vipigo kwa wake zao kumbe
wasiwasi wao tu...

kama bishanga alivyoandika, mwanamke wa aina hii ndio mara yake ya mwanzo huyo!
 
Mkuu mwanamke anayeonyesha dalili hizo huyo ni amacha,maveteran waliokubuhu huwapati kwa dalili hizo,washatumika ni hatari,akirudi anakauka,keshatia ndimu huko down na ukitaka utapewa vile vile tena kwa miguno kibao,usicheze na wanawake aisee.
kwanza ana mkoba balaa una kila kitu angeweza hadi mataulo angeweka huko... viatu kama laki, perfume, mafuta, vitana, sabuni, vyupi nk.

akirudi fresh kama asubuhi, unapewa kiss yako unatengewa chakula, unamiminiwa mvinyo, unapetiwa na unalazwa kama gogo, anavuta shuka, siku imeisha

dont even go there.... haya mambo yako kama yalivyo
 
Hizi ni dalili. Na tiba yake ikoje? Halafu why this issue of cheating has become a big problem now? Men,what role do we play? Vinginevyo tukae kimya tu maana kulalamika sana haina maana kuna watu wanatusikiliza
even men are cheating! kwa hiyo ningoma droooo!
 
Haya mambo ukiyafikiria sana unaweza kufa kwa presha.
 
Wakuu, kama baadhi ya wachangiaji walivyotangulia hapo juu usipende mchunguza kuku alacho, vinginevyo itakukatisha tamaa kwani hawa viumbe (wanawake) sasa hivi walishachanganyikiwa, wanagawa utadhani pipi haijalishi ni wake za wakubwa au wake za watu wa kawaida, wote mtindo mmoja. Wake wengine wa wakubwa wanaishia kuwaponza wanaume tu, kama alivyoponzwa Babu Seya!
 
Back
Top Bottom