kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Dogo,Aisee naona kama nimeshindwa tena kuwapiga sound mademu yaani siku hizi sound zangu naona kama zimeisha nguvu kila demu ninaemtongoza now simpati sijajua shida ni nini maana hadi nimekata tamaa[emoji53][emoji53][emoji53]
Naombeni wajuzi mje mnifundishe kutongoza
Liked your commentDogo,
Tafuta mpunga kwanza..
ubaya ni kuwa mtu hawezi kukufundisha kutongoza!Aisee naona kama nimeshindwa tena kuwapiga sound mademu yaani siku hizi sound zangu naona kama zimeisha nguvu kila demu ninaemtongoza now simpati sijajua shida ni nini maana hadi nimekata tamaa[emoji53][emoji53][emoji53]
Naombeni wajuzi mje mnifundishe kutongoza
[emoji23][emoji23]Ili ujenge confidence, mtokee demu ambaye unajua kwa vyovyote vile huwezi kumpata.
Awe single.
Awe na fedha au cheo kikubwa au mamlaka kubwa. Pia itakuwa vizuri kama baba yake ni Polisi au mjeshi mwenye cheo kikubwa, au askofu.
Utajenga confidence, we jitolee tu.
Tafuta pesa, watakuja wenyewe hadi utakua unawakataa.Aisee naona kama nimeshindwa tena kuwapiga sound mademu yaani siku hizi sound zangu naona kama zimeisha nguvu kila demu ninaemtongoza now simpati sijajua shida ni nini maana hadi nimekata tamaa[emoji53][emoji53][emoji53]
Naombeni wajuzi mje mnifundishe kutongoza
SawaaTafuta pesa, watakuja wenyewe hadi utakua unawakataa.
Nakazia kama huna pesa piga nyeto tu ndio size yako.Dogo,
Tafuta mpunga kwanza...
Wanasemaga "....HAKUNA mkate ngumu kwa chai"
Mkuu soma kitabu cha Dkt. Dyaboli kinaitwa JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE YEYOTE UKAMPATA: Mbinu 7 Rahisi zilizosaidia mamilioni ya wanaume duniani kote. Hakuna demu anaweza kuchomoa ukitumia madini ya humo ndani. Mimi ni shuhuda niliye hai, hawachomoi kakaAisee naona kama nimeshindwa tena kuwapiga sound mademu yaani siku hizi sound zangu naona kama zimeisha nguvu kila demu ninaemtongoza now simpati sijajua shida ni nini maana hadi nimekata tamaa[emoji53][emoji53][emoji53]
Naombeni wajuzi mje mnifundishe kutongoza
HahahaTafuta pesa, watakuja wenyewe hadi utakua unawakataa.
NaamNakazia kama huna pesa piga nyeto tu ndio size yako.
Ukiwa na pesa una uhakika wa kulamba Mbususu uitakayo kwa 97%.
Kaza tako kutafuta pesa mademu utawapata kwa ziada tu.
Hahaha,Ili ujenge confidence, mtokee demu ambaye unajua kwa vyovyote vile huwezi kumpata.
Awe single.
Awe na fedha au cheo kikubwa au mamlaka kubwa. Pia itakuwa vizuri kama baba yake ni Polisi au mjeshi mwenye cheo kikubwa, au askofu.
Utajenga confidence, we jitolee tu.