Wanaume wenzangu wa Tanzania tujifunze kuhonga..kuhonga Ni ibada

wakusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
1,084
Reaction score
1,061
Tuache ubahiri..unaombwa vocha unatuma ya jero.ukihonga Sana buku 30..khaaa.

Tuhonge jamani..starehe kubwa duniani kwa mwanaume Ni kutatua matatizo ya mwanamke.

Ndugu zangu
 
Nitaanza kuhonga mshahara ukiongezwa kwa wafanyakazi wa serikakalini. Maana kuna watu nawadai.
 
Wanawake wanapenda kuwafanya mabwege waamini kuwa kugawa pesa hovyo ndiyo uanaume kumbe wanakuchora tuu.
 
Mimi nikihonga usiku nikilala huwa naweweseka sipend na siwez kuhonga
 
Utakua umetumwa ww sio bure,usawa huu watu hata tukiombwa hiyo vocha tu tunakata mawasiliano Leo uhonge 30?....bora nikae na kamasi zangu ...
Kuna kimoja nimekitongoza mchana eti ucku kinaomba zawad ya b'day,nikakata mguu hata kuonja cjaonja...
Kengine nimetongoza Leo kesho kanaomba soda nikakata mguu..
Yani ndo vimetugeuza vyanzo vyao vya mapato manina zao
 
Mkuu mmash umeTIsha aiseeH...
Naona hutaki habari za kupigana virungu kudadadeki
 
Serikali itupie jicho kwnye hili inaweza ikapata chanzo kingine cha mapato
 
Utahonga wangapi weweeee.... acha uzinzi.....oa fasta kama huwezi vumilia mihemuko yako......sie wengine pesa zetu tunamalengo nazo.....watu kama nyinyi mkifikisha 50yrs huwaga mnasumbua sana mageti ya watu
 
Eti wanasema "mashine mpelekee bibi yako kijijini akakobolee mahindi, mwanamke matunzo"
 
Eti wanasema "mashine mpelekee bibi yako kijijini akakobolee mahindi, mwanamke matunzo"

πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ JF never boring The Boss
Hadi nimecheka kwa sauti, eti mplekee bibi yako kijijini akobolee mahindi...jamani watu mna maneno humu ndani
 
Mkuu mmash umeTIsha aiseeH...
Naona hutaki habari za kupigana virungu kudadadeki
Vijinga sana hivi mkuu,badala vitulie angalau tuvimege Mara mbili tatu,vyenyewe ukitongoza Leo kanakupa appointment ya kesho kutwa,na kabla hiyo cku ya appointment haijafika vinaanza mizinga,....pumbaf zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…