Wanaume weupe na kingeke cha kupendwa na wanawake!!

Wanawake kihalisia hawajui wanachokitaka .
Wanatamaa ya kupata kila kitu.

Wengi wanasema wanapenda mwanaumerefu na mweusi.
Jambo la ajabu sana ni kuwa wanawake hawapendi kuzaa Watoto weusi[emoji23][emoji23][emoji23].
Sasa unajiuliza Hao vijana weusi watatoka wapi Kama hawazaliwi.

Mwanaume akiwa Ana pesa wanasema pesa sio ishu ishu ni mapenzi.
Wakiata kwenye mapenzi Hana pesa wanasema . Mapenzi bila pesa Labda Kwa mamΓ‘ Yako.


Taamaa ya macho imewafanya wanawake kuwa kama watumwa Wa mapenzi mana wanajikuta maisha Yao yote wanatamani vitu ambavyo kamwe havitapatikana katika ukamilifu wake kwani Kila Siku vinatokea vipya katika ubora na uzuri zaidi.

Labda wasubiri midoli ya kiume itakapoanza kutengenezwa na kuuzwa Kwa ajili ya kufanya mapenzi .
Itakua ni rahisi Kununua mdoli Wa rangi naaumbili wanayotaka. Na pia itakua ni rahisi kubadilisha na Kununua mdoli Mwingine Tofauti na binadam walioumbwa na kuzaliwa na Mwanamke kwani hawajakamilika na hawatakamilika.
 
Mimi ni dark, handsome na tall..ningekua Malaya ningeshajaza yutong hata nne,tatizo ni mzito kuchangamkia nyapu,nshapata ofa nyingi mno za k acha zile unaona kabisa beki kapombe,hazikabi
Shida nini mkuu changamkia nyap hizo mzee

Sisi tunatata Uno ndembendembendembendembe
Uno ndembendembendembendembe 🀣🀣
 
Wewe ni mchicha mwiba
 
Kuna hatua ya uanaume ukifika huwezi kuwaza au kukaa eti unajadili kupendwa na wanawake..tulishatoka huko,sie wengine kule kwetu lushoto babu zetu walikua wana vinasaba na wajerumani ..
mara nyingi ukiona mtu yuko busy na wanawake ni pangu pakavu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…