Wanaume weupe na kingeke cha kupendwa na wanawake!!

Money is the parent of all.
Money attract naturally than mega magnets.
Money can turn black to blue, yellow to green, red to white.
It's money that betrayed Jesus.
Handsome= Hand some money
 
Maisha yangu yote sijawahi kutamani kuwa na mwanaume mweupe! Sijui nawaonaje? Hawanivutii kabisa.

Mwanaume mweusi, mwenye akili, mwenye sauti nzito ya kiume! Acheni nyie!
Yaani hizo ulizotaja ni sifa zangu kabisa, unaonaje nikufate inbox?
 
Nimezoea kusikia wanawake wakisema

"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".

Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?
Hata mie nashangaa hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka mkavu wewe!! Hapo usikute una sura imechachuka km ya wale waliokuwa wanalalamika madanguro kufungwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mie ctak khaaah
 
Mkaka mweupe mimi hapana!
Wadada wengi tunapenda wanaume weusi sababu tunataka mti mweusi,

Mti ukiwa mweupe sijui pink tunaona huyu jamaa hayupo serious na hii mechi.
Sharti la nyoka awe mweusi tunaona Cobra huyu hapa!
[emoji23][emoji23][emoji23] hata weupe, mbna ule mti huwa mweusi, au unasema race ingine wee.
 
na sisi wanaume ambao sio weupe wala sio weusi (yaani tupo tupo tu)

au level zetu ni mahausigeli
 
Hivi mkuu unahisi ikitokea bahati mbaya ghafla wanawake wakaondoka duniani, unahisi nini kitatokea kwenu wanaume weupe kutoka kwa ma Black man?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake wengi wa kimaskin wanapenda Sana wanaume weupe ila sisi matajiri tunawachukia hata Kaka zetu weupe
Hii comment kuna wakaka fulanii nawaoneshaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maisha yangu yote sijawahi kutamani kuwa na mwanaume mweupe! Sijui nawaonaje? Hawanivutii kabisa.

Mwanaume mweusi, mwenye akili, mwenye sauti nzito ya kiume! Acheni nyie!
ShemelaπŸ˜‰
 
Maisha yangu yote sijawahi kutamani kuwa na mwanaume mweupe! Sijui nawaonaje? Hawanivutii kabisa.

Mwanaume mweusi, mwenye akili, mwenye sauti nzito ya kiume! Acheni nyie!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkaka mweupe mimi hapana!
Wadada wengi tunapenda wanaume weusi sababu tunataka mti mweusi,

Mti ukiwa mweupe sijui pink tunaona huyu jamaa hayupo serious na hii mechi.
Sharti la nyoka awe mweusi tunaona Cobra huyu hapa!
Falla sana wewe, kwa hiyo nikikutokea...mwamba huyu hapa?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…