Wanaume woooote ni ...........mdada usimwache laazizi wako kwa hili

😛oa
dont call somebody a player just becoz he plays the game!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ndio maana nikasema hata ile ya mara mojamoja hit and run haikwepeki
 
yaani wanaume ni wabaya wabaya wabaya
waongo
matapeli
wanafiki
washamba
malaya
mashetani
viruka njia
makupe
;
;
'
evil creatures
tunakaa nao basi tu
 
Maria1047 na Bebii,ama kweli leo mmeamua kututengeneza.Hivi mlivyoamka leo asubuhi mlitanguliza mguu gani chini,maana......du!
mzee Aspirin uko wapi uwatie bakora hawa wajukuu zako?
labda Bebii ila mimi kila siku nipo hivi (live my full life at JF)
 
kweli nna tatizo, mana nampenda wifi yako saaana!
Na namuheshimu, sababu ananiheshimu... Bado huamini tu kuwa kuna wanaume tuna real love? Na kuna wanawake (tena wengi tu) ambao ni infidel to their lovers?
Huyo wako anaruka ruka sana nini maria?
kuwa na real love haimaanishi kutotembea nje
kuna professor flani udsm anampenda mkewe ile sana tuu yaani kuliko unamsema vibaya mkewe bora umchanje yeye kwa kisu ila prof. Nje anaenda sana kwa kisingizio cha urijali
 
yaani wanaume ni wabaya wabaya wabaya
waongo
matapeli
wanafiki
washamba
malaya
mashetani
viruka njia
makupe
;
;
'
evil creatures
tunakaa nao basi tu
shosti unalaana
umalaya sio ubaya unataka wasio na wanaume wafanye na wanyama???????????????????????
 
yaani wanaume ni wabaya wabaya wabaya
waongo
matapeli
wanafiki
washamba
malaya
mashetani
viruka njia
makupe
;
;
'
evil creatures
tunakaa nao basi tu

haja Baba yako?
 
Maria mie nimeshindwa kutoa koment hapa hebu ngoja nikae zangu pembeni
 
Huwa najiuliza kama kuna mwanamke/mdada mwaminifu duniani!Coz sijawahi ona!
ni wachache sana
mimi namfahamu mdada/mmama flani ofisini yaani ni 100% mwaminifu mmewe yupo hapo DSM
 
Hizi generalisation nyingine hizi. maria, jipe muda wa kuishi muda mrefu kidogo, utrakutana na mambo mengi sana yatakayoufungua ubongo wako.
 
Yesu Kristu Maria na Yosefu

Ulitaka kusema nini manka???
 
Huwa najiuliza kama kuna mwanamke/mdada mwaminifu duniani!Coz sijawahi ona!
nyie ndo mmetufanya tusiwe waaminifu inabidi tukae kwa machale machale aaagh
 
labda Bebii ila mimi kila siku nipo hivi (live my full life at JF)

mi nilishazoeaga lile jina jengine la Marytina, uzuri unaanzaga kabisa kujitambulisha ndo inakuwa rahisi. Ulichosema ni kweli kwa kiasi kikubwa tunabisha basi tu.
 

Hahahahaha UCHOYO NA ROHO MBAYA VITAKUUA WEWE DADA YANGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…