"Wanaume wote ni nyoka...."

Mamaaaaa!! Sikujua kama leo nilikuwa na miadi! Sijui nilisahau vipi! Sitaki tena pombe dah!
 
Bofloooooooooooooooooooooooooooooooo. teh teh teh.
 
we boflo vipi wewe? unapotuita wanaume nyoka unasahau kwamba wanaume ndo baba zako? kwa hiyo na wewe ni uzao wa nyoka kwa hiyo na wewe ni nyoka tena nyoka huyo cjui ni chatu au cobra maana ndo baadhi ya makabila hayo ya nyoka!!!! umeonaeee?

jina lake anaitwa BOFLO
 
duh kwa hyo nyoka ya mwanamme ipo hata yakutafta chakuhfadhia io nyara ya serikali at,vngnevo izo nyoka ztatsha watoto barabaran.
 
Kama wanaume wote ni nyoka basi na wanawake ni nyoka sababu wanapenda kuwa na nyoka ambao ni wanaume kwa hyo wote ni nyoka.
 
Na wanawake ni shimo la kuhifadhia hao nyoka!
 
BOFLO kama jina lenyewe linavyomaanisha nadhani ameshangaa kwa kuwa yeye sio NYOKA
 
Kz ya nttoka nuu kupenya ktk mashimo marefu, mafupi na hata mapana tunachukiwa kwasababu hatuingi shimo moja tu
 
Kazi ya nyoka ni kupenya ktk mashimo marefu, mafupi na hata mapana tunachukiwa kwasababu hatuingii shimo moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…