Wanaume: You have to grow up


Unahitaji mshauri nasaha kwenye mkolezo. Nilidhani mpaka sasa ungeshaliona ni tatizo! Kwa sasa umepofuka kisa 'mi marioooooooz'
 

Halafu chukueni na vocha ya mia tano tano nakuja kulipa vyote. Hahaaaa nimejikuta nakumbuka yule mvulana aliyekuwa analalamika siku ile kisa kumpa mpenziwe vocha ya mia tano kila siku. Nikajisemea kweli wanaume wabeba majukumu wamebaki wa kumulika na tochi, otherwise kazi mnayo wanawake.

BTW JF wame-disable kitufe cha LIKE kwangu, sijui wamehisi nazigawa kama njungu!!! madai yao ni kwamba kimebaki kwa watumia simu, ukitumia PC hukioni. Ndo maelezo niliyopewa
 
Nimekujumuisha wewe na wenzio mliokimbilia kunijadili mimi ili kujifariji ila bado haijaondoa ukweli kuwa imewafikia kadri ya malengo, hayo mengine ni kujifariji tu.

Kuwa tu mnyenyekevu bibie... uwasilishaji wako unatunyima ujumbe usitufikie.... itakufaa sana ukijiboresha wewe ili tuige na sie.....
 

Mkuu, hapo namba tatu nimempa na mfano wa kale kabisa malkia wa sheba. Ye anavyoowaambia man up, wenzie wanawaoa na wanalipa premium kupata huduma!!
 

umeongea vyema na asipoelewa na hapa, basi vijana wetu wana shida sana kupata wake.
 

Unadhani nisingekuwa mwerevu angenichagua kuwa mkewe?? Unadhani hayo mafanikio yake yamekuja hivi hivi tuuu, ningekuwa na mawazo mgando tusingekuwa na haya mafanikio tuliyonayo, and he is very proud.

Hiyo aina ya uwasilishaji ulikuwa intended hataaa usikusumbue, wameelewa.
 

Stop drowning conclusion from specific to general.
 

Umetendwa???? Men will always be men!! Tatizo unazungumzia wanaume njaa ambao mnapenda kuwa drive !! Mwanaume na hela zangu utaniambia nini ????? I get what I want!
 

Hahahaaa! Okey tunashukuru, yaani kazi tunayo sio kidogo.
 

Pole my kaka, daaah nitazimiss like zako, ila sio mbaya maana kavocha nimepatapo, teh thanx sana.
 
Unahitaji mshauri nasaha kwenye mkolezo. Nilidhani mpaka sasa ungeshaliona ni tatizo! Kwa sasa umepofuka kisa 'mi marioooooooz'

Yaani wewe uliyedai umeolewa huo ushauri nasaha ndio unakufaa haswaaaa, hebu tangulia gharama nitalipia.
 
Kuwa tu mnyenyekevu bibie... uwasilishaji wako unatunyima ujumbe usitufikie.... itakufaa sana ukijiboresha wewe ili tuige na sie.....

Ujumbe umekuingia na ulishasema kule awali, hizi propaganda zenu za kujifariji walaaa haziniingii, katika hili inabidi mzodolewe haswaaa sio kubembelezwa, unaanzaje kubembelezwa kwa kuwa marioo? Utabembelezwa utakapojitambua, confrotation pia ni njia mojawapo ya kufanya councelling, si unaona ulivyofunguka hadi ukakubali mwenyewe, sasa kinachofuata ni kubadilika na kuwa mwanaume.
 
Umetendwa???? Men will always be men!! Tatizo unazungumzia wanaume njaa ambao mnapenda kuwa drive !! Mwanaume na hela zangu utaniambia nini ????? I get what I want!

Stop drowning conclusion from specific to general.

Teh teh teh teh teh teeeeeh!! Kweli kazi ipo tena kubwa mnooo, ila mdogo mdogo mtafunguka tu hivyo vichwa.
 
umeongea vyema na asipoelewa na hapa, basi vijana wetu wana shida sana kupata wake.

Basi unafurahiii akitokea wa kukufariji hivyo ati?? Hiyo ni njia niliyoamua kuitumia mimi and it has worked, sasa wewe hiyo njia nyingine waweza kuitumia ktk hatua inayofuata baada ya hii, sikuitumia kwa bahati mbaya ati.
 
kwa aina hii ya majibu na miitikio ni makosa kujiona u mwerevu,sina imani pia kama mwenzio anajivunia kuwa nawe,kwa tabia hii uliyoonesha.
Ninakuombea tu usichelewe kuifikia hekima na busara,nikushauri pia uwe na akiba katika kusema,sikusudii kuendelea na hii ligi,katika uzi wako kuna ya msingi nikuahidi nitayazingatia,nimalize kwa kusema nimekua na wakati mzuri katika hotuba yako.
 
Uzi wako umepotray akili zako zote. Kweli nimeamini mwanamke ni mwanamke tu
 
No I cant cope with it till I hv tried to change it, hebu kuweni wanaume jamani bado inawezekana kabisa.
Mimi nitabadilika ila mtoto wangu atabaki hivyo na mdogo wangu kama kawa. Hivyo ni kama unapiga ngumi ukuta, mwisho wa yote utashindwa hata kushika kikatio ambacho wakati huu kinaonekana ni butu. Wewe ndiye ukubaliane na khali kama ambavyo kila siku hukosi wanaume kama 50 wanaokutongoza, Je, unawakubalia au unawachekea tu na maisha yanasonga mbele. Try to cope my beautiful lady
 
Dinner atapelekwa tu ila sio kwa kuanzishiwa thread ... uvumilivu japo suna unatakiwa asee
Wewe ni hatari ajabu. Kusema za ukweli, cha mwanamke unakila lakini ipo siku utakitapiaka. Asikueleze mtu, cha mwanamke kina masimango ile mbaya hasa ikifika saa 9 kabla ya saa 12. Hayo unayoyasema ni kwa vile nadhani ni mgeni katika ndoa (0-10 years). I can assure you after 20 years utanieleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…