wanaume

wanaume

Bi nyakomba

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
385
Reaction score
104
habari zenu our Hubby,our sweetht,our kiss.........

naomba kuuliza,kusaidiwa maana najua huku ndo kimbilio pekee lilibakia kwa ushauri. Hivi mwanaume anaweza kukupenda bila signs yoyote ya upendo. Mfano hasemi nakupenda hata cku moja, hana caring yani kukudekeza kdg ujisikie raha, anaongea kwa mkatomkato nk. cha kushangaza unapoamua kutaka kuachana nae analalamika,
 
nyakomba wa kunyumba uymwiki ?monile?

kadala vangu jovai MBWITU....mwambie mbwitu.....HAKUPEND UYO ILA ANAKUHITAJ KWA SABABU FULANI thats y ukitaka sepa analalama.....................kimbia

vip uko lizabon,maposen,mwanamonga,litapwasi,mliayoyo?mahenge?lilambo?peramiho?
 
Wapo wengi wa aina hiyo lakini upendo wake unakuwa wa dhati na wengi wanakuwa busy kwa shughuli za kimaisha yaani hayo yooteee unayoyataka anawezaa kukuonyesha furaha na caring mara moja kwa mwaka na tena siku hiyo lazima kuna kitu cha furaha kimemtokea. Ila kila kitu na upendo anakuwa nao. Wengi huonyesha upendo kwa kwa kuuza sura kumbe mawazo ya moyo wake yapo mbaaliiiii.
 
nyakomba wa kunyumba uymwiki ?monile?

kadala vangu jovai MBWITU....mwambie mbwitu.....HAKUPEND UYO ILA ANAKUHITAJ KWA SABABU FULANI thats y ukitaka sepa analalama.....................kimbia

vip uko lizabon,maposen,mwanamonga,litapwasi,mliayoyo?mahenge?lilambo?peramiho?

Wanyakyusa bhana hawatuliagi kabisa, acha kumdanganya mwenzio aruke ruke huku na huko, ningetegemea umwambie amuulize ana kwa ana huyo mwanaume wake na siyo kumwambia akimbie sasa akimbilie wapi au achovewe kila aendako
 
habari zenu our Hubby,our sweetht,our kiss.........

naomba kuuliza,kusaidiwa maana najua huku ndo kimbilio pekee lilibakia kwa ushauri. Hivi mwanaume anaweza kukupenda bila signs yoyote ya upendo. Mfano hasemi nakupenda hata cku moja, hana caring yani kukudekeza kdg ujisikie raha, anaongea kwa mkatomkato nk. cha kushangaza unapoamua kutaka kuachana nae analalamika,

Huyo ndo mzuri mshikilie
 
Yaelekea huyo bwana ni mwanajeshi wa geshi ra JWT au ra borisi hivyo kazoea saluti, au ni mkurya wa TARIME.
 
Vipi mlijuana mwanzo kama hio ndo tabia yake, na wewe lazima unakasoro zako tu.
 
Yaelekea huyo bwana ni mwanajeshi wa geshi ra JWT au ra borisi hivyo kazoea saluti, au ni mkurya wa TARIME.

Mbona unawatania hao jamaa, hujui kuwa wa kilimanjaro wengi wameolewa huko!!!!
 
bibie wataka kuliliwa ndio uone raha ee komaa nae kama kweli unampenda au sepa kama humuamini ya kufa kwa kijiba cha roho...
 
Wapo wengi wa aina hiyo lakini upendo wake unakuwa wa dhati na wengi wanakuwa busy kwa shughuli za kimaisha yaani hayo yooteee unayoyataka anawezaa kukuonyesha furaha na caring mara moja kwa mwaka na tena siku hiyo lazima kuna kitu cha furaha kimemtokea. Ila kila kitu na upendo anakuwa nao. Wengi huonyesha upendo kwa kwa kuuza sura kumbe mawazo ya moyo wake yapo mbaaliiiii.

Thanx kibweka for this, it is very useful advc indeed.
 
nyakomba wa kunyumba uymwiki ?monile?

kadala vangu jovai MBWITU....mwambie mbwitu.....HAKUPEND UYO ILA ANAKUHITAJ KWA SABABU FULANI thats y ukitaka sepa analalama.....................kimbia

vip uko lizabon,maposen,mwanamonga,litapwasi,mliayoyo?mahenge?lilambo?peramiho?

Hahahahaaaa Rose umenipa raha mboni mwenxioooo
 
Wapo wengi wa aina hiyo lakini upendo wake unakuwa wa dhati na wengi wanakuwa busy kwa shughuli za kimaisha yaani hayo yooteee unayoyataka anawezaa kukuonyesha furaha na caring mara moja kwa mwaka na tena siku hiyo lazima kuna kitu cha furaha kimemtokea. Ila kila kitu na upendo anakuwa nao. Wengi huonyesha upendo kwa kwa kuuza sura kumbe mawazo ya moyo wake yapo mbaaliiiii.

NI ukweli mtupu,hata mimi mama Igwe anasema simpendi sababu tu ya eti simuonyeshi hayo,...ila kiukweli nampenda sana tena kwa dhati,.......to cut-a-long story short....inawezekana kwa sana tu,na tupo wanaume wengi tu wa aina hiyo.
 
Wanyakyusa bhana hawatuliagi kabisa, acha kumdanganya mwenzio aruke ruke huku na huko, ningetegemea umwambie amuulize ana kwa ana huyo mwanaume wake na siyo kumwambia akimbie sasa akimbilie wapi au achovewe kila aendako

Kimbweka acha kubweka ovyo...hicho sio kinyakyusa mkuu.
 
Wanyakyusa bhana hawatuliagi kabisa, acha kumdanganya mwenzio aruke ruke huku na huko, ningetegemea umwambie amuulize ana kwa ana huyo mwanaume wake na siyo kumwambia akimbie sasa akimbilie wapi au achovewe kila aendako

Hapo tu ndo nakupendea kibweka.
 
habari zenu our Hubby,our sweetht,our kiss.........

naomba kuuliza,kusaidiwa maana najua huku ndo kimbilio pekee lilibakia kwa ushauri. Hivi mwanaume anaweza kukupenda bila signs yoyote ya upendo. Mfano hasemi nakupenda hata cku moja, hana caring yani kukudekeza kdg ujisikie raha, anaongea kwa mkatomkato nk. cha kushangaza unapoamua kutaka kuachana nae analalamika,

duuhh..kweli duniani wawiliwawili...huyo basha wako kama mie vileeee..photocopyyy...MIE NAPENDA ILA KWAKWELI KUJALI WALA SIJUI....NAONA KAMA NAJILAZIMISHA KUIGIZA VIJITABIA AMBAVYO SINA..

mara ohh maua mara ohooo dinner mara sijui hepibesidei....hayo mie siyawezi bana....NAKUPENDA NIAMINI KAMA HUAMINI SHAURI YAKO mie siwezi kukudanganyadanganya kama mtoto mdogo.
 
MAPENZI NI KIKOHOZI

unaweza kuficha ugonjwa wa kikohozi???????????????

Kama anakupenda hata Bila kusema utaona vijimambo fulani akikufanyia , hii ni kwa pande zote , ME na /au KE
 
Ndio fazaa Tumejuana mda, sikatai nami ninamapungufu, maana no body is perfect n am nobody
Najua hakuna mtu perfect duniani, lakini kumbuka kitu wewe na yeye mlipo pendana mwanzo...mbona kulikuwa hakuna matatizo kama hayo, lazima na wewe unaukorefi flani, ndo sababu anakujibu kimkato kato.

Afu kama hakupendi vipi awe na wewe? kuna kitu flani hapo lazima mkitazame wote wawili, iko sehemu mnakosea wote wawili, wazungu wanakamsemo kanasema hivi;If you are not a part of solution, than you arepartof problem.
.
 
Back
Top Bottom