wanaume

sasa atajuaje unampenda kama hata humuonyeshi upendo? kutakua na tofauti gani kati yako na mtu wa barabarani?
 
mmmmh NN. Funguka bana acha kutubania ma point
 

Mtu hakwambii kuwa anakupenda (anashindwa kuonyesha upendo kwa mdomo), hana caring yeyote (anashindwa kuonyesha upendo kwa vitendo), sasa upendo wake uko wapi hapo? Siyo kupotezeana muda huko? Naona ni bora uanze taratibuuuuu, kama kweli anakupenda ataanza kukufuatilia upya ....
 
Wewe umejiunga leo leo na tayari unajua kufupisha jina langu? Now I smell the biggest rat!!!!!!!!!!!

Hahahah wanifurahisha. Kwani kufupisha jina la mtu nayo ni topic ya kujifunza aaggrrr.
 
kwenye red hapo,mmmmhhh ,rekebisha hapo mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…