Wanavunja katiba yao, watashindwaje kuvunja katiba ya Nchi?

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Ndugu zangu Watanzania, tuwape nafasi ya kutuongoza kwa sababu kama wanavunja katiba ya Chama chao, watashindwa nini kuvunja katiba ya Nchi?

Wameshaonesha kwamba hawawezi tena kuheshimu hata Katiba ya chama chao. Chama kikubwa kinatakiwa kuwa mfano bora kwa vyama vingine, lakini wao wameonesha mfano mbovu kabisa kwa Watanzania na kwa Dunia.

Hatupo tayari kuongozwa nao, kama wamevunja katiba yao watashindwaje kutuvunja sisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…