Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Kumekuwa na video ya miezi 9 iliyopita ya interview ya Diamond yenye lengo la kumchafua, Huyu dogo hajafikisha hata miaka 30 ila kaka zake na dada zake wanavyomtungia vitimbwi siku unaweza kumwonea huruma,
lengo la hawa wanga kuisambaza hii video clip ni kuchochea upuuzi, hawajaweka wazi kwamba hii interview ni ya miezi tisa iliyopita wakati ambao dogo kachoka kunyonywa na ile radio iliyopiga pini nyimbo zake zisipigwe, hii kauli aliitoa endapo ile radio itamfanyia figisu figisu nyimbo zake zikifungiwa,
Hawa wanga wanasambaza huu utumbo ili ionekane Diamond katoa hii kauli baada ya kufungiwa na basata, Niwafumbue tu macho kwamba hii interview ilifanywa zamani sana na kijana alitoa hii kauli baada ya kuwapa kisogo ile redio na akaweka wazi endapo ile radio itamfanyia figisu ili nyimbo zake zifungwe basi atahama hii nchi.
MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI!!!!!!
lengo la hawa wanga kuisambaza hii video clip ni kuchochea upuuzi, hawajaweka wazi kwamba hii interview ni ya miezi tisa iliyopita wakati ambao dogo kachoka kunyonywa na ile radio iliyopiga pini nyimbo zake zisipigwe, hii kauli aliitoa endapo ile radio itamfanyia figisu figisu nyimbo zake zikifungiwa,
Hawa wanga wanasambaza huu utumbo ili ionekane Diamond katoa hii kauli baada ya kufungiwa na basata, Niwafumbue tu macho kwamba hii interview ilifanywa zamani sana na kijana alitoa hii kauli baada ya kuwapa kisogo ile redio na akaweka wazi endapo ile radio itamfanyia figisu ili nyimbo zake zifungwe basi atahama hii nchi.
MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI!!!!!!