Leo katika vyuo na vyuo vikuu Mkoa wa kilimanjaro kumefanyika kampeni ya kutosha ilioongozwa na Diwani Juma Raibu ambae amepita bila kupingwa katika kata yake
Wanavyuo kutoka Muco,Stefano Moshi,Kcmc na vinginevyo wamesema kura zao zinaenda kwa Magufuli kutokana na Ongezeko la mikopo,Elimu bure na punguzo la kodi kwenye mishahara ya watumishi.
Wanavyuo kutoka Muco,Stefano Moshi,Kcmc na vinginevyo wamesema kura zao zinaenda kwa Magufuli kutokana na Ongezeko la mikopo,Elimu bure na punguzo la kodi kwenye mishahara ya watumishi.