Wanawake acheni excuse ya kuumwa/kuugua

Wanawake acheni excuse ya kuumwa/kuugua

Mayila Baba

Member
Joined
May 21, 2016
Posts
93
Reaction score
60
Habari wana JF wenzangu, Mungu awajalie neema ya uzima.....

Imenibidi nilete uzi huu humu ndani maana ndio eneo la pekee la ku-free up brain....

Imezoeleka, kwa wanawake hasa walio kwenye mahusiano, pale wanapokwaruzana na mpenziwe huwa wana tabia ya kujifanya wanaumwa...

Ukiwa nae karibu hasa kama hamsemeshani, atakua mgonjwa unaweza sema huyu anakata roho sasa ivi.. Ukiondoka anapona na anaendelea nashughuli zake za kawaida

Unaweza jikuta unapeleka mtu hospital kwa kutumia gharama kubwa, halafu unafika huko, anapewa panadol ambazo karibia kila nyumba wanazo au mmeziacha nyumbani

Badilikeni jamani, kama ukikosea, sababu wewe sio malaika, accept your fate and reconcile, mbona kawaida sana

Mnawaumiza wanaume zenu, acheni tabia za namna hiyo...
 
Ungemwambia aliye kuhadaa badala ya kuja kupiga kelele huku au ndo wasaka kiki?
 
kugombana na mwanamke sio jambo zuri, usilifanye liwe la kujirudia rudia hasa ukiwa kwa kiasi fulani kweli unampenda, wana akili zao wanazijua wenyewe..kuna haya yaweza tokea

anaweza akawa anaumwa kweli ama laa, inategemea

anaweza akakufanya wewe ukaumwa mazima, ukapooza kwa mstuko, na anaweza akakufanya uharibu maisha yako jumla kwa ugomvi wa kipuuzi tu, tena wala hapigani, mwanamke silaha yake kubwa ni mdomo tu, anaweza kukuropokea neno hilo, ukatamani ujinyonge ufilie mbali...kifupi ukiona unapishana na mkeo ama mpenzi na hakuna dalili ya kupata suluhu kuna mawili, jipendi muda ama tenganeni kabisa maana yupo mmoja wenu ataumia zaidi...yapo mengi ila kwa ufupi ni haya nawasilisha, baba mwanamke sio wa kumuonea mara kwa mara hawa visasi vyao hatuviwezi wakiamua kweli kutuzingua
 
kugombana na mwanamke sio jambo zuri, usilifanye liwe la kujirudia rudia hasa ukiwa kwa kiasi fulani kweli unampenda, wana akili zao wanazijua wenyewe..kuna haya yaweza tokea

anaweza akawa anaumwa kweli ama laa, inategemea

anaweza akakufanya wewe ukaumwa mazima, ukapooza kwa mstuko, na anaweza akakufanya uharibu maisha yako jumla kwa ugomvi wa kipuuzi tu, tena wala hapigani, mwanamke silaha yake kubwa ni mdomo tu, anaweza kukuropokea neno hilo, ukatamani ujinyonge ufilie mbali...kifupi ukiona unapishana na mkeo ama mpenzi na hakuna dalili ya kupata suluhu kuna mawili, jipendi muda ama tenganeni kabisa maana yupo mmoja wenu ataumia zaidi...yapo mengi ila kwa ufupi ni haya nawasilisha, baba mwanamke sio wa kumuonea mara kwa mara hawa visasi vyao hatuviwezi wakiamua kweli kutuzingua
Wewe unatujua

Tunajua kutunza na tukiamua kulipa tunalipa kweli
 
Haha
Eti anaumwa, au anakuwa anaumwa na hasira!!!
 
Habari wana JF wenzangu, Mungu awajalie neema ya uzima.....

Imenibidi nilete uzi huu humu ndani maana ndio eneo la pekee la ku-free up brain....

Imezoeleka, kwa wanawake hasa walio kwenye mahusiano, pale wanapokwaruzana na mpenziwe huwa wana tabia ya kujifanya wanaumwa...

Ukiwa nae karibu hasa kama hamsemeshani, atakua mgonjwa unaweza sema huyu anakata roho sasa ivi.. Ukiondoka anapona na anaendelea nashughuli zake za kawaida

Unaweza jikuta unapeleka mtu hospital kwa kutumia gharama kubwa, halafu unafika huko, anapewa panadol ambazo karibia kila nyumba wanazo au mmeziacha nyumbani

Badilikeni jamani, kama ukikosea, sababu wewe sio malaika, accept your fate and reconcile, mbona kawaida sana

Mnawaumiza wanaume zenu, acheni tabia za namna hiyo...
Safi! Unajitambua.hv umeolewa?
 
Kuna mmoja alikuwa anaweka na pamba na plasta mkononi eti ushahidi wa dripu
 
Ungemwambia aliye kuhadaa badala ya kuja kupiga kelele huku au ndo wasaka kiki?
Utetezi wako na mashambulizi yako yanaonesha wewe ni mmoja wao. Wanawake wengi wako hivi siku hizi.
 
Back
Top Bottom