Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
- Thread starter
-
- #21
mwanamke mitoko babu,mwanamke uwe juu babuu,mwanamke kupendezea babu,mwanamke mijigold na mijisilver babu,mwanamke kujionesha babu kwa marafiki zake kua kapata na yy mtu mwenye nazo
yote hayo ni kazi yako huwezi sepa babuu
hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndio ujue ndizi haitoi tui babu...........wakati ww wajuta na kualalama kwa kutoa pesa ya vocha tu kuna mwenzio yuko tayar hata kumjengea house na kumkabidhi kila kitu chache yy ndio awe akitaka kitu anamwambia mama naomba hela ya vocha akinyimwa anakua mpole na kusema hakuna tabu mm ww utakavo mm sawa tu loh!
wahenga wanakuambia mwanamke matumizi babuuuuu na mwanamme pochi babu we
mwanamke mitoko babu,mwanamke uwe juu babuu,mwanamke kupendezea babu,mwanamke mijigold na mijisilver babu,mwanamke kujionesha babu kwa marafiki zake kua kapata na yy mtu mwenye nazo
yote hayo ni kazi yako huwezi sepa babuu
hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndio ujue ndizi haitoi tui babu...........wakati ww wajuta na kualalama kwa kutoa pesa ya vocha tu kuna mwenzio yuko tayar hata kumjengea house na kumkabidhi kila kitu chache yy ndio awe akitaka kitu anamwambia mama naomba hela ya vocha akinyimwa anakua mpole na kusema hakuna tabu mm ww utakavo mm sawa tu loh!
Wahenga wanakuambia mwanamke matumizi babuuuuu na mwanamme pochi babu we
Kweli hizi tabia zinakera sana wanaume na ndo zinafanya wengine mnakosaga kabisa wakuwaoa mnabaki kubanana na wanaume za watu.
1. Tabia za kujifanya high class
2. Kila ukipewa outing unakuja na kampani
3. Tabia za mizinga ya mara kwa mara - HII NDIO KERO KUBWA
4. Mizinga ya vocha kila siku
Unakuta unapigwa mzinga leo unakaa siku moja tu unakula mwengine.
Sitaki ku entertain majibu ya inategemea au siyo wowote mimi ushauri wangu kwako ujirekebishe tu.
Yaani nimecheka hadi raha,Aminata unaishi Magomeni na ni mpenzi wa taarab wala usibishe hahaha!mwanamke mitoko babu,mwanamke uwe juu babuu,mwanamke kupendezea babu,mwanamke mijigold na mijisilver babu,mwanamke kujionesha babu kwa marafiki zake kua kapata na yy mtu mwenye nazo
yote hayo ni kazi yako huwezi sepa babuu
hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndio ujue ndizi haitoi tui babu...........wakati ww wajuta na kualalama kwa kutoa pesa ya vocha tu kuna mwenzio yuko tayar hata kumjengea house na kumkabidhi kila kitu chache yy ndio awe akitaka kitu anamwambia mama naomba hela ya vocha akinyimwa anakua mpole na kusema hakuna tabu mm ww utakavo mm sawa tu loh!
wahenga wanakuambia mwanamke matumizi babuuuuu na mwanamme pochi babu we
Alert her!We endelea na hiyo tabia uone kama utaona hata pete ya engagement.
Nduka original,pole. Naona wadada wanalushambulia bila chenga. Ndo taatbu ya small house,unachunwa bila ganzi. Dawa yao kawasemee kwa mkeo,or else muambie mkeo akutaftie small house yenye staha.