Wanawake acheni kuamini ushirikina

Wanawake acheni kuamini ushirikina

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Bila shaka wana jukwaa mpo baraabaraa kabisa.

Jamani nyinyi wnaawake najua kua kweli maisha ni magumu na sometimes mkipata chance mnatamani kutumia mbinu yoyote (ikiwemo shirk) ili kufanikisha jambo lenu.

Stori ipo hivi:-
Nimekua katika mahusiano na bint for quite some time. Sasa jana amekuja gheto na wakati wa maandalizi ya mechi akatoa handkerchief kwenye mkoba wake (hii ikawa red flag sababu sio kawaida yake kuja na leso).

Tukaendelea na mechi ila wakati mechi inaendelea akawa anachukua ile leso na kuitumia kunifuta kwa kuibia, hapa napo nikastuka maana kama ni kunifuta ilipaswa iwe mwisho wa mechi. Tukaendelea na kumaliza mechi nikaichukua ile leso nikajifuta na yeye akaichukua ile leso akajifuta halafu AKAIHIFADHI VIZURI.

Sasa wakati amelala nilibanwa na haja ndogo nikaona alivyoiweka ile leso nikaichukua nikaiweka sehem nyingine tofauti. Alipoamka asubuhi haioni leso kabadilika ghafla mala aingie uvunguni, mala apangue pangue vitu yaani vurugu tupu.

Nikamuuliza tatizo ni leso ya jero ndio anahangaika vile akanijibu hana shida na leso kama leso ila ana maana yake ambayo hakutaka kuniambia. Sasa hii mbinu nilishaishtukia ndio mana nikaificha na badae nikaja kuichoma kabisa.

USHAURI: Wanawake na mabinti ushirikina haifai na sio nzuri in the long run.

Nawasilisha.
 
Heheeee, dah. Sio kila jambo linaletwa hapa. Umri na ni shida, una miaka mingapi wewe
 
Screenshot_2024-06-06-06-16-11-304_com.miui.gallery.jpg
 
Heheeee, dah. Sio kila jambo linaletwa hapa. Umri na ni shida, una miaka mingapi wewe
Even jambo dogo linaweza kua darsa kwa mtu mwingine mkuu, usi underestimate kitu. Kuhusu umri am old enoght to have a grandchild.
 
Bila shaka wana jukwaa mpo baraabaraa kabisa.

Jamani nyinyi wnaawake najua kua kweli maisha ni magumu na sometimes mkipata chance mnatamani kutumia mbinu yoyote (ikiwemo shirk) ili kufanikisha jambo lenu.

Stori ipo hivi:-
Nimekua katika mahusiano na bint for quite some time. Sasa jana amekuja gheto na wakati wa maandalizi ya mechi akatoa handkerchief kwenye mkoba wake (hii ikawa red flag sababu sio kawaida yake kuja na leso).

Tukaendelea na mechi ila wakati mechi inaendelea akawa anachukua ile leso na kuitumia kunifuta kwa kuibia, hapa napo nikastuka maana kama ni kunifuta ilipaswa iwe mwisho wa mechi. Tukaendelea na kumaliza mechi nikaichukua ile leso nikajifuta na yeye akaichukua ile leso akajifuta halafu AKAIHIFADHI VIZURI.

Sasa wakati amelala nilibanwa na haja ndogo nikaona alivyoiweka ile leso nikaichukua nikaiweka sehem nyingine tofauti. Alipoamka asubuhi haioni leso kabadilika ghafla mala aingie uvunguni, mala apangue pangue vitu yaani vurugu tupu.

Nikamuuliza tatizo ni leso ya jero ndio anahangaika vile akanijibu hana shida na leso kama leso ila ana maana yake ambayo hakutaka kuniambia. Sasa hii mbinu nilishaishtukia ndio mana nikaificha na badae nikaja kuichoma kabisa.


USHAURI:- Wanawake + mabint shirk haifai na sio nzuri in the long run.

Nawasilisha
🤔🤔🤔🤔🤔 Shukuru sana kwa kuliona hilo mapema na bado mnaendelea na mahusiano?
 
🤔🤔🤔🤔🤔 Shukuru sana kwa kuliona hilo mapema na bado mnaendelea na mahusiano?
Ile kwangu ilikua warning japo sijachukua uamuzi wa kuachana nae.
 

Bila shaka huyu ni mwanaume
 
Mbona ni kama wewe ndio unaamini USHIRIKINA?..kwanini usiwaze kwamba alikuwa anakufuta ili baadae akafue...

Kuhusu suala la UFICHO hicho ni kitu cha kawaida mbona kwa wenzetu,hata pedi zilizotumika hifinywangwa na kuwekwa kwa UFICHO pia,vipi napo ni USHIRIKINA?
 
# ROCA FELLA

POLE KWA TUKIO HILO LAKINI ONDOA MASHAKA MWAMINI MOLA MLEZI ACHA KUAMINI USHIRIKINA MUNGU NDIYO KILA KITU MTUMIKIE IPASAVYO.
 
Back
Top Bottom