Wanawake acheni kujidhalilisha

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,436
Natumai hamjambo wakuu.

Wanawake acheni kujidhalilisha, hivi mnakosa nini hata mnaamua kuwatunuku papa ma-house boy waliopo majumbani mwenu ajili ya kuangalia mifugo na usafi wa mazingira.

Jana nimeitwa kwa jirani kusuluhisha ugomvi wa aina hii, mwanamke anaulizwa na mumewe kipi anakosa hata ajidhalilishe hivo? yupo kimya tu hana jibu, yule bwana akamwambia bora amcheat na mtu mwingine kuliko house boy.

Kama ilivokawaida ya binadamu akikosea humsingizia shetani yule mwanamke alimsingizia shetani kampitia akaomba msamaha.

Kamwe sitowahi fuga kwangu ma-house boy coz akili za wanawake huwa wanazijua wenyewe
 
House boy sio mtu?
House boy mostly ni vijana wenye afya kumzidi Baba mwenye nyumba
Sasa mtu mwenye akili ataulizaje swali unakosa nini?..
Hajui house boy ataweza kwenda kilomita nyingi kumzidi?..
Maswali mengine mbona majibu yapo wazi?
 
Alikosea sana kukuita kusuhulisha mda kama huo angetakiwa awe ndani na majamaa kama watatu wawe wamemfungia house boy mmoja kati ya hao watatu anakuwa anagiiziwa pharmacy chap kwa haraka mafuta ya ky jelly
 
House boy sio mtu?
House boy mostly ni vijana wenye afya kumzidi Baba mwenye nyumba
Sasa mtu mwenye akili ataulizaje swali unakosa nini?..
Hajui house boy ataweza kwenda kilomita nyingi kumzidi?..
Maswali mengine mbona majibu yapo wazi?
hayo ni mawazo ya wanawake wenye tamaa
 
Alikosea sana kukuita kusuhulisha mda kama huo angetakiwa awe ndani na majamaa kama watatu wawe wamemfungia house boy mmoja kati ya hao watatu anakuwa anagiiziwa pharmacy chap kwa haraka mafuta ya ky jelly
maamuz ya kijinga yanaweza kukupa majuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…