Tatizo lipo hapo mkishindwaga kucare wake zenu wakiwaponyoka mnatafuta visingiziolinahbaby maelezo yako ni marefu bt hayana mantiki, wanawake wengi wakiwa katika ndoa huishi kwa mazoea tofauti na mwanzo na hiki ndo husababisha wanaume tuwachoke mapema...
jamaa kamfukuza na hataki kuajir tena, kamwambia mkewe ndo ashughulike na mifugo.Afukuze huyo house boy aniajiri Mimi maana naheshimu sana wake za watu.
Na hizo mbili nyingi, acha house boy afaidi kazi ya muumbaSwali
H boy fundi nyi si hmjui hata kusak...mkirudi mama John geuka basi unapiga mbili za kibinafsi unalala.
Tunaweza kuvumilia njaa ila sio njaaaaa!!
samahan we ni ke au me.Na hizo mbili nyingi, acha house boy afaidi kazi ya muumba
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Kashindwa kazi hapo alikuwa anamuuliza mkewe unakosa nini, hapo ni aibu tu anachokosa mkewe anakijua sana[emoji23][emoji23][emoji23],jamaa kamfukuza na hataki kuajir tena, kamwambia mkewe ndo ashughulike na mifugo.
Haina umuhimu sana sahizi [emoji23][emoji23][emoji23]samahan we ni ke au me.
mwanamke kama anatabia ya kuchepuka hata umgegede vipi atachepuka tu.Kashindwa kazi hapo alikuwa anamuuliza mkewe unakosa nini, hapo ni aibu tu anachokosa mkewe anakijua sana[emoji23][emoji23][emoji23],
hiyo mifugo kama mie ningefanya kwa uwezo wangu tu mengine tusichoshane
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Kama mwanamke anatabià nzuri lakini mwanaume akawa ndiyo sababu hiyo imekaaje hapo,!mwanamke kama anatabia ya kuchepuka hata umgegede vipi atachepuka tu.
Sema wewe broTatizo lipo hapo mkishindwaga kucare wake zenu wakiwaponyoka mnatafuta visingizio
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
hata kama sio sababu ya kutembea na h boy, jiulize habari kama hiyo ivume kitaa aibu ile huoni kama ni kujidhalilisha bt akicheat na mtu mwingine si shida sanaKama mwanamke anatabià nzuri lakini mwanaume akawa ndiyo sababu hiyo imekaaje hapo,!
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
huyo hajui kitu hivo ukimsikiliza atakupoteza bure.Sema wewe bro
Unahisi na we mwanaume huchokwi😅?linahbaby maelezo yako ni marefu bt hayana mantiki, wanawake wengi wakiwa katika ndoa huishi kwa mazoea tofauti na mwanzo na hiki ndo husababisha wanaume tuwachoke mapema...
Hizi tabia za kudharau wasaidizi wa nyumbani sizipendi basi tu. Kuwa kaka au dada wa kazi haipunguzi chochote katika ubinadamu wake, ana mahitaji km wengine na wanastahili heshima pia. Kwa wale wakristo watakuwa wanafahamu habari ya Yusupu alipokuwa kwa Potifa namna mkewe alivyomtaka kimapenzi kwa udi na uvumba kwa sababu ya imani yake kwa Mungu aliishia gerezani kwa kusingiziwa kutaka kumbaka mke wa bosi wake kisa alikataa. Sasa iwapo mama kamlazimisha au kumshawishi kwa kuzingatia uhitaji wake wa ajira na ana matamanio afanyeje?. Wanaume na wanawake tuache kuwatumia wasaidizi wa kazi kwa sababu ya umaskini wao, kuwa katika majumba yetu si kwamba walitaka bali maisha ndo yanawasukuma hivyo.Natumai hamjambo wakuu.
Wanawake acheni kujidhalilisha, hivi mnakosa nini hata mnaamua kuwatunuku papa ma-house boy waliopo majumbani mwenu ajili ya kuangalia mifugo na usafi wa mazingira.
Jana nimeitwa kwa jirani kusuluhisha ugomvi wa aina hii, mwanamke anaulizwa na mumewe kipi anakosa hata ajidhalilishe hivo? yupo kimya tu hana jibu, yule bwana akamwambia bora amcheat na mtu mwingine kuliko house boy.
Kama ilivokawaida ya binadamu akikosea humsingizia shetani yule mwanamke alimsingizia shetani kampitia akaomba msamaha.
Kamwe sitowahi fuga kwangu ma-house boy coz akili za wanawake huwa wanazijua wenyewe
Anamuonea bure.,aangalie alipopelea hadi mke akaona bora houseboy kuliko yeyejamaa kamfukuza na hataki kuajir tena, kamwambia mkewe ndo ashughulike na mifugo.
Na wewe acha kutuchukulia poa ma-House Boy! Kwani hizo papa za wake zenu zina nini cha maana hadi tusizichungulie?! Ni kwamba ile way kwao inatoka East to West tofauti na za ma-Housegirl zinazotoka North to South, au?!Wanawake acheni kujidhalilisha, hivi mnakosa nini hata mnaamua kuwatunuku papa ma-house boy waliopo majumbani mwenu ajili ya kuangalia mifugo na usafi wa mazingira.
Mimi sipotezwi na mtu mkuu nafata hakiri zangu zinavo nituma ndo nafanya ilimradi nafisi ilizike huwa sifanyi vitu kumfurahisha mtu [emoji1696]huyo hajui kitu hivo ukimsikiliza atakupoteza bure.