Kuna tabia ime ibuka kwa kasi sana dada zetu, ndugu zetu kujilipia mahari, yupo radhi ata aka kope, auze vitu vyake aombe kwa wazazi wake kisha ampe mwanaume aje kulipa kwao.
Kuna tabia ime ibuka kwa kasi sana dada zetu, ndugu zetu kujilipia mahari, yupo radhi ata aka kope, auze vitu vyake aombe kwa wazazi wake kisha ampe mwanaume aje kulipa kwao.
Dah ila wanawake wanapigwa spana humuu, wasipoolewa spana wanaojiongeza kama hv nao spana ya kichwa?? Ok swali langu mtoa mada umejuaje?? Umefanya utafiti vp?