Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Hii kitu imezoeleka sana kwenye familia zetu lakini watu wengi wanashindwa kuiongelea, wanawake wamekosa huruma kabisa mwisho wa siku wanauwa bila kujuwa kuwa wanauwa, kuna familia moja huko kanda ya ziwa jamaa alienda kuowa huko dodoma kondoa kwa warangi.
Lakini jamaa alikuwa ameishapata watoto watatu kutoka kwa mke mwingine ambae waliachana na kipindi anamuowa huyo dada wa kirangi alikuwa vizuri kiuchumi, inaaminika kuwa waislamu huruhusiwa kuowa wake wawili mpaka wanne. Na jamaa nae alikuwa ni muislamu basi maisha yamekwenda ndani ya miaka 9 jamaa akajenga nyumba mbili lakini pia walibahatika kupata watoto watatu wengine na mwanamke huyo wa kirangi.
Sasa shida inaanza jamaa akasema anataka aongeze mke wa pili mama wa kirangi kusikia hivyo amani ikavurugika ndani ya nyumba lakini jamaa akasisitiza kuwa lazima aowe mke wa pili, mama wa kirangi naona aliona solution ni kwenda kwa karumanzila akapewa kwa kigezo cha kumfunga jamaa asiwe na mawazo ya kuowa mke wa pili, mama kazidisha dozi jamaa akawa zezeta matokeo yake akawa anashinda ndani tu amejificha anaogopa mpaka watu.
Mwisho wa siku akafariki baada ya kufariki jamaa uchumi wa familia ukayumba mbaya, mpaka chakula kikakosa ndani ya nyumba, kwa sasa mama wa kirangi anahaha na maisha amefikia mpaka kugawa mzigo hovyo ili apate riziki ya kuendesha maisha.
Lakini jamaa alikuwa ameishapata watoto watatu kutoka kwa mke mwingine ambae waliachana na kipindi anamuowa huyo dada wa kirangi alikuwa vizuri kiuchumi, inaaminika kuwa waislamu huruhusiwa kuowa wake wawili mpaka wanne. Na jamaa nae alikuwa ni muislamu basi maisha yamekwenda ndani ya miaka 9 jamaa akajenga nyumba mbili lakini pia walibahatika kupata watoto watatu wengine na mwanamke huyo wa kirangi.
Sasa shida inaanza jamaa akasema anataka aongeze mke wa pili mama wa kirangi kusikia hivyo amani ikavurugika ndani ya nyumba lakini jamaa akasisitiza kuwa lazima aowe mke wa pili, mama wa kirangi naona aliona solution ni kwenda kwa karumanzila akapewa kwa kigezo cha kumfunga jamaa asiwe na mawazo ya kuowa mke wa pili, mama kazidisha dozi jamaa akawa zezeta matokeo yake akawa anashinda ndani tu amejificha anaogopa mpaka watu.
Mwisho wa siku akafariki baada ya kufariki jamaa uchumi wa familia ukayumba mbaya, mpaka chakula kikakosa ndani ya nyumba, kwa sasa mama wa kirangi anahaha na maisha amefikia mpaka kugawa mzigo hovyo ili apate riziki ya kuendesha maisha.