LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Wanawake wana mambo ya ajabu sana yaani ni Ngumu mwanaume kumtafuta mwanamke aliyedate nae utotoni au aliyemtoa uschana wake yaani wanaume hua tukiamia kambi mpya hakunaga kutafuta wanawake wazamani labda ujilete mwenyewe
Ila wanawake sijui kwanini huwa wanakumbu kumbu nzito sana, yaani anaweza akaolewa na akakaa hata miaka 10 alafu akarudi kumtafuta mwanaume aliyekuwa nae utotoni yaani hii kitu imenitokea
Shule ya msingi niliwahi kuwa na urafiki wa utotoni yale ya mchumba angu tulipoingia form 2 tukapotezana miaka 17 imepita jana akanipigia sim kuwa amekumbuka sana tulivyokuwa utotoni anatamani kwa sasa tufanye kweli maana kipindi kile ilikuwa ni utoto na namba yangu aliipata fb na yupo seious, kwa sasa ni mwalimu huko mbeya, Daah niliishia kumwambia sorry ntakupigia ndio mazima
Mwaka jana Mwanamke wangu wa utotoni balehe form 3 tulipotezana baada ya kumaliza olevel2009, 2010 akaenda advance maringo yakawa mengi akapata wajanja akanipotezea na mm nikaendelea na maisha, imepita miaka 14 akanitafuta nae anauliza kama nimeowa or vipi akataka nimuoe amemiss upendo wa kweli ule hapo tayari nna mwanamke na watoto ntarudije nyuma nkacheka tu
Ila ukweli ni kwamba Wanawake wakifikishaga miaka 32,33 hwajaolewa huwa wanachanyikiwa hilo nimeamini
Kingine wanawake wakiingia hata kwenye ndoa huwa wana tabia ya kuwasiliana na wapenzi wao wa utotonu sijui kwa nini
Ila wanawake sijui kwanini huwa wanakumbu kumbu nzito sana, yaani anaweza akaolewa na akakaa hata miaka 10 alafu akarudi kumtafuta mwanaume aliyekuwa nae utotoni yaani hii kitu imenitokea
Shule ya msingi niliwahi kuwa na urafiki wa utotoni yale ya mchumba angu tulipoingia form 2 tukapotezana miaka 17 imepita jana akanipigia sim kuwa amekumbuka sana tulivyokuwa utotoni anatamani kwa sasa tufanye kweli maana kipindi kile ilikuwa ni utoto na namba yangu aliipata fb na yupo seious, kwa sasa ni mwalimu huko mbeya, Daah niliishia kumwambia sorry ntakupigia ndio mazima
Mwaka jana Mwanamke wangu wa utotoni balehe form 3 tulipotezana baada ya kumaliza olevel2009, 2010 akaenda advance maringo yakawa mengi akapata wajanja akanipotezea na mm nikaendelea na maisha, imepita miaka 14 akanitafuta nae anauliza kama nimeowa or vipi akataka nimuoe amemiss upendo wa kweli ule hapo tayari nna mwanamke na watoto ntarudije nyuma nkacheka tu
Ila ukweli ni kwamba Wanawake wakifikishaga miaka 32,33 hwajaolewa huwa wanachanyikiwa hilo nimeamini
Kingine wanawake wakiingia hata kwenye ndoa huwa wana tabia ya kuwasiliana na wapenzi wao wa utotonu sijui kwa nini