Wanawake acheni michezo ya kuwatafuta wanaume wenu wa utotoni

Kwa dunia ya sasa umezdsh kdogo chumviπŸ™ƒπŸ˜Š
 
hahaahah umenikumhusha kuna dem anamlilia mshikaji wetu kuwa asioe wakati yeye kaolewa, na anamuomba waendelee na mapenzi, hata shoo atampa,
kuna wanawake ni mbwa, namuonea huruma mme wake, oyaa nilikibaini, kabla ya kuingia kwenye mahusiano hakikisha huyo ex wake waliachana kbsaa, na umpe onyo, haya mambo uko na mtu , alafu badae linakuja kurudiana na ex ni useng
 

Mzee wa Ovyo kweli, kazi ni kutafutwa na ma X tu, tupe hata mbinu za kutoboa kimaisha sio Ngono tu!
 
aisee
 
Hizi mbususu ni za kushare mwanawane sasa haya mambo ya kutaka ule mbusus ya mkeo/mpenzio peke yako unaleta ukorofi tuu.
Wee kama unapewa mbususu na mkeo shukuru.
 
Na ukiona mkeo yupo mwenye magroup ya huko shule enzi hizi basi ujue hiyo italiwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…