Wanawake acheni tabia za kuwageuza Wanaume ATM!


Nimekutamani wewee....Sarafina1..Naomba ya bure....
 
Nimekumbuka usemi wa wahenga wa Kiswahili "PESA NI SABUNI YA ROHO" na wakidhungu "MONEY TALKS" Yawezekana wanaume tunatilia maanani misemo hii katika kuwin confidence ya madem. Kwa sisi tusio na fweza za kutosha tunaishia kuimba "NINGEKUWA JOGOO JOGOO WE" hasa tunapopita maeneo kama Mwenge na Posta
 


I am ur secret admirer cute!! Maana hawa viumbe somo hata hawalielewi, sasa unakuja kwenye maisha yangu ambayo wether wazazi or myself nimeyafanya yako juu ww uajijua hali yako ya chini nikiwa kwenye mitoko yangu ya kawaida tu unaanza oooh ww ni sista du sana! Swali ulinikutaje? Kama nimeanza baada ya ww that is another case! una wale wakaka wabishi no matter standard ya maisha yako yy anakupenda ww na no kulalamika sijui ur too expensive, if huna hiyo hadhi na hela mgogoro go for ur class!
 
 
wanaume kwa kulalamika siku hizi??? wamezidi sana


BB Hivi umesoma topics za thread week hizi mbili?? Nashangaa hata kwanini tunaambiwa sie walalamishi hali wanaongoza MMU...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…