BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
hivi we unajua maana ya simu ya mkononi?hata chooni unaenda nayo.kama ingekuwa ya kukaa chumbani wakati unapika,basi ingefungwa landline.bigup sana wanawake mnaojua maana ya cm za mkononiUkiona mke wako muda wote yuko na simu yake karibu ujue kuna jamaa linachakachua. Yaani akiwa jikoni simu pembeni, bafuni simu pembeni, anafua simu pembeni, anakula simu pembeni. Lakini mke mwaminifu wala hakumbuki simu iko wapi. Yeye jikoni simu iko chumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani. Hivyo muwe mna observe vitu kama hivyo:target:
Ukiona mke wako muda wote yuko na simu yake karibu ujue kuna jamaa linachakachua. Yaani akiwa jikoni simu pembeni, bafuni simu pembeni, anafua simu pembeni, anakula simu pembeni. Lakini mke mwaminifu wala hakumbuki simu iko wapi. Yeye jikoni simu iko chumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani. Hivyo muwe mna observe vitu kama hivyo:target:
Ukiona mke wako muda wote yuko na simu yake karibu ujue kuna jamaa linachakachua. Yaani akiwa jikoni simu pembeni, bafuni simu pembeni, anafua simu pembeni, anakula simu pembeni. Lakini mke mwaminifu wala hakumbuki simu iko wapi. Yeye jikoni simu iko chumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani. Hivyo muwe mna observe vitu kama hivyo:target:
Ukiona mke wako muda wote yuko na simu yake karibu ujue kuna jamaa linachakachua. Yaani akiwa jikoni simu pembeni, bafuni simu pembeni, anafua simu pembeni, anakula simu pembeni. Lakini mke mwaminifu wala hakumbuki simu iko wapi. Yeye jikoni simu iko chumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani. Hivyo muwe mna observe vitu kama hivyo:target:
sawa, nakubali kiasi, lakini ungetuweka kwenye balansi bwana, tupe na dalili za mwanume asiye mwaminifu kwenye ndoa.
sawa, nakubali kiasi, lakini ungetuweka kwenye balansi bwana, tupe na dalili za mwanume asiye mwaminifu kwenye ndoa.
Nahisi mtu kaguswa hapa:teeth:
Rafiki, kwani wewe iko si mwaminifu?
vipi bibie na wewe ni mmja wao?
natatagaza nia!!:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:i am only curious to know the findings about the other side of a coin. miye hata wa kumdanganya sina
kazi rahisi kudili na binadam wa kabila hiyo...!!!!Ukiona mke wako muda wote yuko na simu yake karibu ujue kuna jamaa linachakachua. Yaani akiwa jikoni simu pembeni, bafuni simu pembeni, anafua simu pembeni, anakula simu pembeni. Lakini mke mwaminifu wala hakumbuki simu iko wapi. Yeye jikoni simu iko chumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani. Hivyo muwe mna observe vitu kama hivyo:target:
sasa basi nyie wanaume bado hamjatujua sisi wanawake!!!!!!!!!!!!
leo nimegundua na hakika tutendelea kuwadanganya mpaka mwisho wa dunia
kama tulivyo wadanganya mwanzo wa dunia.........na mkaadabishwa na mungu
Eti kuacha simu ovyo(mbali) ni dalili ya uaminifu............hahaaaaaa mmeliwa vibaya mno kaka zangu.....
natatagaza nia!!:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo: