Wanawake bana

kwa hili, je nikweli mapenzi yana run dunia au pesa ndo ina run?

kwa upande wangu i believe in money, ukiwa na pesa hata kama unasura mbaya, you will get them
 
Mlengeshe kwangu. Nina pesa ila nimekosa mapenzi. Nipatie contact zake.
 

bora umweleze!
 
Unashangaa tena wakati nyie ni wanaume na wamiliki kama sredi inavyosema,so demu hapo anatafuta potential mate ambaye atampa financial security
 
we mbandue tu huyo dada na ulifanya makosa kumpeleka kwako,siku nyingine mwambie mkutane guest kwasababu my wife wako amerudi,ila kama wewe ni zoba basi endelea naye huku ukijua ya kuwa ni mtu wa aina gani.Nalog off
Ahahaa haya mkuuu
 
kwa hili, je nikweli mapenzi yana run dunia au pesa ndo ina run?

kwa upande wangu i believe in money, ukiwa na pesa hata kama unasura mbaya, you will get them[/QUApendwi kinapendwa kile alicho nacho
 
Yani wanawake wa sasa hivi,pesa ndo inayofanya mahamuzi,kitu kingine if you want to live without heart break,DONT trust a woman.
 
endelea nae alafu cku huna kazi-kipato, atakuchomea ndani arifu! umeshajua hii ni sumu alafu unataka kuonja! may be kama ime-expire!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…