wajua vijana msikatae ukweli. na ukweli ni kwamba hakuna binadamu anataka shida. unfortunately/fortunately depending on wether u have money or not money offers life's comfort and in essence it offers security. sasa ni swa kwa mwanamke/mwanaume kujua jinsi ulivyo economicaly becoz it is an important part of life na ukizingatia pesa or the lack thereof is the cause of many in marriages/relations it will be prudent to put due consideration on the matter wen choosing a partner.
cha msingi ni kwamba heshimu pesa na mambao ambayo inaweza kukufanyia...ila usipende pesa maana unaweza ua!!!
money ndio itamfanya mke wako apate cream za kujiremba so aonekane anadai bado...ndizo zitakazo kukusaidia wewe kumpa burudani apendazo...so henshimu umihimu na mchango wa pesa katika relationshi na maisha kiujumla