jofujulius09
Senior Member
- Mar 9, 2017
- 105
- 50
inabd wapunguze aseehahaha atakuwa anafanyia kazi vyuma chakavu huyoooo
Bbbwaaaahahhaahhaaaaaa!!!*Huu ujinga wa MADEM mnavaa hereni sikioni, puani, sijui mara kwenye kitovu na kwenye jicho.. Cheni kama buku mbili jero hivi hapo SHINGONI. Kuna dem kaanguka hapa stendi katoa Sauti kama SUFURIA!*
[emoji51][emoji51] _Kupwangalanglonglinglualelia [emoji23][emoji23]_