Hahahahah.mwanaume kiini cha mabadiliko.ni wanaume wenyewe wanayataka na kuyaruhusu hayo, mara wanataka kuwa kama wanawake(mashoga), bado kidogo watataka na kuzaa we subiri tu utayasikia.Wanaume wamesahau wajibu wao halafu wanalalamika.Kazi kwelikweli!
Hizo picha zote ni hotelini!
Ya ajuu mwanaume aliyekaa amekataa kulipa bili analetewa noma,
Ya chini mwanamke ni mteja anahudumiwa na waiter!
Whats wonder..!
kazi ipo ila ni kinyume hata cha mafundisho ya dini! Am supposed to be the head of the family and that is one thing which will never be changed!!! You gals just keep on DREAMING!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.