Kuna vitu vingine vinashangaza, yaaani ni sawa na kumwambia mtoto wa kindergarten akuandikie thesis ya PHD,Pole wapo walio na upeo ingawa wa elimu dunia ukikaa nao utadhani wamesoma kumbe wanasoma sana magazeti hiyo isikukatishe tamaa Mr President
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
Yoyote mwenye akili akisoma thread yako hii atajua kua wewe ni mshamba kuliko hata hao unawazungumzia hata kama una pHD:spy:.
Ufundi wa kitandani hauna elimu ya PhD. Inaonekana elimu yako umeipata kwa mbinde sana.