Upo wewe nilikuacha kwenye ile sred ya mdada na mumewe chumba tofauti muda mrefu sanadu hii kali kuna mahusianao ya chomeka muzizi na elimu....
Wether u like it or not, std 7 kwa std 7 they can merge engage & kuelewana, upeo ni so crucial in relationship, wazee wa zamani as i said walikuwa equal 7 by 7 or shuleless, be honest toka na std7 or less uniambie, is like uko alone on bed, so again dump & dumperer walk togetherKuna vitu vingine vinashangaza, yaaani ni sawa na kumwambia mtoto wa kindergarten akuandikie thesis ya PHD,
Leo nasikia eti kuna uhusiana wa elimu na kitandani huh!!
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
we c unaona anajiita psezda inaonyesha mgen kwenye madem ww mfundishe kama vp mapenz hayana elimu
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
Mkuu hujawatendea haki hili kundi la wanawake ambalo umelishutumu. Kumbuka mapenzi yalikuwepo hata kabla ya elimu hivyo huwezi kutumia kigezo cha elimu kupima ufanisi wa mapenzi. Mepenzi ni mahitaji ya mtu binafsi kulingana na matakwa ya moyo wake, ndio maana kila mwanadamu ana haki ya kumchagua aliyeridhika naye. Wewe kama huwezi kupenda darasa la saba ni haki yako kabisa lakini wapo wengine wanao wapenda na ni haki yao ndio maana hao darasa la saba nao wana wapenzi wao. Kumbuka hakuna mwanadamu anayependa kuishia darasa la saba bali ni mfumo wa maisha ndani ya dunia hii unaowafanya waishie hapo walipo. Jaribu kuthamini kila mwanadamu kwa jinsi alivyo na mahitaji yako binafsi hayawezi kuwa mahitaji ya kila mwanadamu hapa dunia.
Sredi inadhalilisha...mods mpo wapi?shame on u all
Nipo mpenzi wangu....Upo wewe nilikuacha kwenye ile sred ya mdada na mumewe chumba tofauti muda mrefu sana
Mh, sijakutana na std 7 kimapenzi. Bt ktk maongezi naungana na wewe
Eeh! Kumbe Moderators mpo!Super Moderator said:Mkuu SIZINGA,
Upo nasi tangu 2007. Ushayaona mengi kuliko haya
Chukulia upande wa pili wa shilingi wakati Wanaume 'wasomi' usiku
wanawatoroka wake zao kwenda kuwanyemelea std7 House Maids.
JF is Where You Dare To Talk Openly Ubarikiwe.
straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. Leta at least o-level certificate, huna sitongozi, std vii waste of
time
Mkuu hujawatendea haki hili kundi la wanawake ambalo umelishutumu. Kumbuka mapenzi yalikuwepo hata kabla ya elimu hivyo huwezi kutumia kigezo cha elimu kupima ufanisi wa mapenzi. Mepenzi ni mahitaji ya mtu binafsi kulingana na matakwa ya moyo wake, ndio maana kila mwanadamu ana haki ya kumchagua aliyeridhika naye. Wewe kama huwezi kupenda darasa la saba ni haki yako kabisa lakini wapo wengine wanao wapenda na ni haki yao ndio maana hao darasa la saba nao wana wapenzi wao. Kumbuka hakuna mwanadamu anayependa kuishia darasa la saba bali ni mfumo wa maisha ndani ya dunia hii unaowafanya waishie hapo walipo. Jaribu kuthamini kila mwanadamu kwa jinsi alivyo na mahitaji yako binafsi hayawezi kuwa mahitaji ya kila mwanadamu hapa dunia.
Mkuu SIZINGA,
Please be fair to the Moderators.
Upo nasi tangu 2007. Ushayaona mengi kuliko haya.
Chukulia upande wa pili wa shilingi wakati Wanaume 'wasomi' usiku
wanawatoroka wake zao kwenda kuwanyemelea std7 House Maids.
JF is Where You Dare To Talk Openly
Ubarikiwe.