Wanawake eti hizi ndio njia wanazotumia kumkataa mwanaume

Wababa wa humu mnatumaind kinoma.hivi ndio sababu mnaombaga mtandao pendwa siku ya kwanza tu?
 
Kwa tabia hizo baada ya muda utawasikia wakisema nimewakinai wanaume baada ya kuchakazwa na kila type anayochagua badae anagundua sio type yake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…