mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
Wanaume hawasemani vibaya?
Wanaume hawaoneani wivu?
Wanaume hawasingiziani mambo?
Wanaume hawaombeani mabaya?
Wanaume hawachukuliani wake/wapenzi?
Hawajifanyi marafiki walioshibana , mioyoni wanafiki?
Kwenye kila jinsia kuna watu wenye tabia ulizoandika na wanazielekeza kwa jinsia zao wenyewe pia kwa jinsia tofauti kwahiyo acha kuandika kama vile huna uelewa, labda kama hunao.
Hivi mtu utachukuliwaje mpenzi wako?
Au huyo mpenzi wako ni jinga zumbukuku anayechukuliwa bila kujitambua? Sielewi jitu zima na minyoya yake kwapani na kinenani kuchukuliwa na mtu mwingine. How could that be?
Walau umeongea ukweli japo ukweli huo waweza kuwa wa kuumiza upande wakowanawake tunapenda kujikoooosha kana kwmba wanaume ndio wabaya peke yao. Hizo sifa ni kweli kabisa. Povu zitatemwa hapa ila ukweli ndio huo. Hatupendani!
Walau umeongea ukweli japo ukweli huo waweza kuwa wa kuumiza upande wako
Walau umeongea ukweli japo ukweli huo waweza kuwa wa kuumiza upande wako