BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Umenena safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mpaka nimekupenda bu... Dah inachosha kukuta vijana plan A saluni,lip,so on.....kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Nakuunga mkonoMi navaa kawaida tu sinaga cha nguo za sikukuu. Sivai kibishoo kama vijana wengine wa Daslam ila huwa nahakikisha niko clean tu. Nipo casual!!!
Huu sasa unyanyasaji, siwaelewi wanawake mnataka nini ukiwa maskini shida, tajiri shida, mweusi shida, mweupe shida, msomi shida, sasa eti ukiwa handsome na msafi sijui shida, mrefu mweupe shida, mfupi shida, kibamia shida, mguu wa mtoto shida du kila kitu shida kwenu tuweje sasa. Nabaki na msimamo wangu mwanaume ukijinyonga kwa ajili ya mwanamke ni upunguani.kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Nahisi una mimba si bure. Mana mwanamke akiwa na mimba hata arufu ya petroli kwake arufu safii na arufu ya pafyumu ikawa Keri kwakeWaambie!!
kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Unanyoa ndevu ili ufanane na mke wako?Hivi mkiambiwa hamjielewi bado pia utabisha!
Nini sasa umeandika, nyoosha maelezo wewe unapenda ndevu rasta basi ueleweke.
Wengine kila siku ugomvi na wake zetu kisa tumerejea kutoka kwenye mihangaiko bila kunyoa ndevu, wewe unasema wanaume waache ndevu ziote
Miss Natafuta katika ubora wake [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Dada umeongea jambo kubwa Sana, bless Upo,hatukuumbwa kujipodoa, kujipodoa unapoteza muonekano wa kiumekabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Hamaanishi wachafu, anamaanisha kujipodoaaaaa, kuwa simple haimaanishi uchafu, Wapo wanaume wanajiremba Mpaka dahhh,hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Ndo uanaume, mvaa sana na mjipodoaji sana huwaza kuvutia tu, wakati mvaa kawaida huwa bize na kubeba na kutimiza majukumu, wavulana ndo hujipodoa, wanaume tunawaza meeeengi ntapata wapi muda wa kukaa kwe dressing tableMi navaa kawaida tu sinaga cha nguo za sikukuu. Sivai kibishoo kama vijana wengine wa Daslam ila huwa nahakikisha niko clean tu. Nipo casual!!!
Ni zaidi ya ukweli wenyewe,Ni suala la kisaikolojia zaidi. Mwanamke kuna vitu anahitaji kutoka kwa mtu anayemuita mume, kimojawapo ni ULINZI. That sense of being safe haipatikani kwa mwanaume wa kujiremba, sura nzuri na nyoro nyoro. Namna yako ya kuvaa na kuongea inaweza kumfanya mkeo aone kama anakaa na mwanamke mwenzake ndani.
Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanamke hufurahishwa na ubandidu wa dume lake, kuanzia kwenye muonekano hadi kwenye mechi. Nyie jipodoeni tu kama wadada mkidhani mtapendwa kwa nguo zenu na manukato. Miss Natafuta leo umepiga ikulu
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
. wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Like nyingi Toka kwangu Kwa kila utachoongea kwenye hilipicha haihusiki bna ni mfano tu kausha
Mmmh.... kweli kila shetani na mbuyu wake.
Rudia kusoma uzi upyaJinsi mwanamme anavyojiweka hutegemea na shughuli zake anazofanya..Huyo uliyemuweka shughuli zake zaruhusu.
wanawake hatufanani..
Pia wapo wakaka wengi wazuri na wako vizuri pia kitandani.Pia wapo.hao sura ambazo hazirlezeki wako vibaya.
Nb..Wanawake hatufanani!!Kuwa na hb inabd uwe unajiamini haswaa
Chunguza Sana wanaume tunakaharufu kakiume, Wapo wajawazito hushinda na mashati ya Waume zao kuwauliza utaskia napenda harufu ya jasho lakoTeh teh dada hicho kikwapa kinacho amsha genye vepeeee
Halafu inakuaje mwanaume na Mkeo mnakuwa ngoma droo kujipodoa, lzm pawe tofauti bana, mtaheshimiana vp wote mnajireeeeeeemba, wanajiremba toka nae halafu patokee tifu ndo utajua ujinga wao, badala ya kukulinda anaanza kulinda mikufu mapete na nguo zisichafuke au kupoteza,hata watoto wa mjini wakikuona nae wanajua mterezo tuHaha so true ila asiwe rough sana mim sipend wanaume mabishoo sana unakuta mwanaume mzurii anavaa kitoz ananukia pafyum anamapoz flan hiv ya kulamba midomo na kushika katkat ya mapaja na kunyoa kiduku na macheni meeng yan nkiona mwanaume wa hvyo cjui namuonaje ata ctaki anisogelee