Wanawake hawajui haki zao

Wanawake hawajui haki zao

Iwaay

Member
Joined
May 21, 2016
Posts
36
Reaction score
56
Hadithi ya hii inatokana na maisha ya mwanamke asiyejua thamani yake na haki zake.

Imagine mpaka Leo kuna wanawake wanaishi maisha ya mateso. Mwanamke ameachana na mume wake na kila mtu anaishi maisha yake.

Hii hainishangazi ila kinachonishangaza ni kwamba Mwanaume baada ya kuacha a na mke wake atakuwa huru kuwa na mwanamke yeyote yule na kwenda kufanya stare he popote pale.

Lakini kwa upande wa mwanamke anaishi kwa tabu kwani hairuhusiwi kuwa na mwanaume mwingine wala kwenda popote PA kufanya starehe yake kwani akienda tu huko yulee mwanaume aliyeachana naye akimkuta atampiga mpaka akome na pia atateswa kwa kunyang'anywa simu na Vitu vyake vingine lakini akatulia kisa eti huyo mwanaume aliwahi kuwa mume wake duh kweli wanawake wengine hawajui jui haki zao ila wanajua kutumia mtandao ya kijamii lakini pia haiwafungui akili.

Unakuta Dada mzuri sana lakini ukijua maisha yake wewe anaishi na watoto wake lakini Hana furaha ila tu siku ziende duh. Wanawake badilikeni Bana. Nimemaliza mimi sasa kwenu nyie WASOMAJI WANGU.
 
Hizo haki ni kama zipi japo toa mifano michache watu wajifunze.
 
Halafu ni kweli huwa inashangaza wanawake wakishaumizwa mioyo na waume zao wakaachana Eti wanawake wanasusa na kuwaachia Mwanaume kila kitu including nyumba walojenga wote [emoji848][emoji848]

Unamwachiaje?

Kama mwanamke umeamua kuondoka ni sawa lakini na Mwanaume aondoke akaishi kwa mchepuko wake,

Nyumba yenu mlojenga pamoja muipangishe mgawane hela ya kodi.

Kwanini umuachie nyumba ?!
 
Hiki kisa si ukiweke wazi tu kuwa unamuongelea demu ako.
 
kwani akienda tu huko yulee mwanaume aliyeachana naye akimkuta atampiga mpaka akome na pia atateswa kwa kunyang'anywa simu na Vitu vyake vingine lakini akatulia kisa eti huyo mwanaume aliwahi kuwa mume wake duh kweli wanawake wengine hawajui jui haki zao ila wanajua kutumia mtandao ya kijamii lakini pia haiwafungui akili.
Mtu isipomfaa Akili yake, basi utamdhuru Ujinga wake.
 
Joisi kiria kampani limitedi[emoji28]
IMG_20220612_135624.jpg
 
Hadithi ya hii inatokana na maisha ya mwanamke asiyejua thamani yake na haki zake.

Imagine mpaka Leo kuna wanawake wanaishi maisha ya mateso. Mwanamke ameachana na mume wake na kila mtu anaishi maisha yake.

Hii hainishangazi ila kinachonishangaza ni kwamba Mwanaume baada ya kuacha a na mke wake atakuwa huru kuwa na mwanamke yeyote yule na kwenda kufanya stare he popote pale.

Lakini kwa upande wa mwanamke anaishi kwa tabu kwani hairuhusiwi kuwa na mwanaume mwingine wala kwenda popote PA kufanya starehe yake kwani akienda tu huko yulee mwanaume aliyeachana naye akimkuta atampiga mpaka akome na pia atateswa kwa kunyang'anywa simu na Vitu vyake vingine lakini akatulia kisa eti huyo mwanaume aliwahi kuwa mume wake duh kweli wanawake wengine hawajui jui haki zao ila wanajua kutumia mtandao ya kijamii lakini pia haiwafungui akili.

Unakuta Dada mzuri sana lakini ukijua maisha yake wewe anaishi na watoto wake lakini Hana furaha ila tu siku ziende duh. Wanawake badilikeni Bana. Nimemaliza mimi sasa kwenu nyie WASOMAJI WANGU.
Ww ndo ujui haki zako na hujui haki ni nn,?!
 
Back
Top Bottom