Wanawake hawakai jiko moja

Wanawake hawakai jiko moja

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Maneno haya yalitoka kinywani mwa babu yangu miaka kadhaa iliyopita.

Na mara kwa mara nimeshuhudia na kuikumbuka kauli hiyo.

Mawifi hawakai jiko moja..mama mkwe ndio kabisaa mwanzo wa kuonana wachawi..hata marafiki watacheka usoni utadhani wana raha...lakini kamwe nafsi zao katika mazingira ya jikoni yana kinzana.

Jikoni Pana siri KUBWA.
 
Back
Top Bottom