Mwanaume ndiyo kichwa Blue Balaa,Kulipa Bill zote za Maisha ndiyo kiume and its biblical!
Primarily kazi ya mwanamke tangu kuwekwa kwa misingi ya Ulimwengu ni Kuzaa tu,sio kuzalisha mali!
In my opinion,mwanamke akiamua kulipa bill yeyote hata nyumbani ni HISANI!!
Yeye kazi yake kumliwadha Mume na kulea watoto;Whereas kazi yako ww ni KUMPENDA(Including kulipia bill zake zote na za watoto kutoka ktk tumbo lake)
Hapa Issue sio usawa,hakuna Usawa kati ya Mwanaume na Mwanamke,Mungu mwenyewe katika Hekima zake alitutofautisha na alikuwa na kusudi! He created Potential Difference(P.D) btn a man and a woman ili waweze kuhusiana!
Sehemu ambayo hakuna P.D uhusiano hufa kuanzia!!
Imeandikwa "nanyi wake WATIINI waume zenu km kumtii kristu",nanyi Waume WAPENDENI wake zenu...."
Kwa mantiki nyepesi tu Mamlaka ndogo hutii kwa Mamlaka Kuu,Mke(mamlaka ndogo) hutii kwa mamlaka kubwa(Mume).
Lakini km ilivyokuwa restrictive,Utii huo ni "km kumtii kristu" yaani katika yaliyo Mema!
Sio wewe unataka kula ndogo halafu unataka hakutii!
Mwanamke ambaye hutaka kujiinua juu ya Mwanamke sio tu anadosari katika Ubongo wake lakini anastahili Maombezi!!
Wanawake wapumbavu huzivunja Nyumba zao kwa mikono yao wenyewe-Biblia
So i call upon all fellow men to enjoy and derive pleasure paying their wives bills mpaka mwisho wa "maisha" hapa duniani!!