Huyo hakupendi akupendae kwa dhati siku moja moja lazima na yeye ajitolee hata kama ni kidogo
Nimeamka salama kabisa Ndugu yangu, Vipi bado unaendesha? Nasikia jana ulichukua contrakti ya kuendesha trekta.... Karibu tena
Bili najilipia nikiwa peke yangu, nikiwa na wewe tafadhali ni majukumu yako, sipendi kukudhalilisha...
Maty, kule huyu BB analalamika wanawake wake 100+ wametoa mimba zake, huku anataka cost sharing, labda wamemuona bahili ndio maana wanachoropoa mimba zake
Hizi tuhuma nimezisikia watu wabaya dah, nipo mzima wa afya sasa weekend hii nilikuwa na plan kutoka halafu wewe ndio unilipie kila kitu sasa itakuwaje???
Agree to disagree
eva alitofautiana nao kidogo kwa kushare lile tunda na adam ingawa ndio iliyokuja kutucost kizazi chote mpaka kesho.
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.
Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc
MWANAUME NI KICHWA.
nikilipa ntakuwa nawadhalilisha na kuwapunguzien HESHIMA YENU..so najiweka kando utekeleze UANAUME WAKO....
au na nyinyi mnataka usawa..????????????
Baada ya Hawa/Eva kumshawishi Adam wale tunda Mungu alisema Mwanamke atazaa kwa "uchungu" na Mwanaume atatafuta kwa jasho lake. Kwahiyo mchezo ulishaisha zamani ndio maana tunachotafuta kwa jasho letu lazima hawa tunaowazalisha kwa uchungu wakifaidi.
Usiwe na hasira, tunafuata sheria za Mungu.... Tutakula kwa jasho....
Jasho langu nakula mwenyewe, Jasho lako tunashea.... Mbona wewe huzai kwa uchungu???
Na kwa taarifa yenu, mkipenda sana kushare cost na wanawake manajiondolea ile title ya kuwa kichwa cha nyumba ambayo inaendana na kujiondolea respect kama mume, usitegemee mke akuthamini na kukuheshimu huku unamtaka awe 50-50 kwenye maswala ya cost.
tatizo walikuwa shirimatunda...Bora Adamu na Hawa wangekuwa wachina, wangemla yule nyoka aliyekuwa anawadanganya wale tunda.
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.
Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.
Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.
Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc
Mwanaume ndiyo kichwa Blue Balaa,Kulipa Bill zote za Maisha ndiyo kiume and its biblical!
Primarily kazi ya mwanamke tangu kuwekwa kwa misingi ya Ulimwengu ni Kuzaa tu,sio kuzalisha mali!
In my opinion,mwanamke akiamua kulipa bill yeyote hata nyumbani ni HISANI!!
Yeye kazi yake kumliwadha Mume na kulea watoto;Whereas kazi yako ww ni KUMPENDA(Including kulipia bill zake zote na za watoto kutoka ktk tumbo lake)
Hapa Issue sio usawa,hakuna Usawa kati ya Mwanaume na Mwanamke,Mungu mwenyewe katika Hekima zake alitutofautisha na alikuwa na kusudi! He created Potential Difference(P.D) btn a man and a woman ili waweze kuhusiana!
Sehemu ambayo hakuna P.D uhusiano hufa kuanzia!!
Imeandikwa "nanyi wake WATIINI waume zenu km kumtii kristu",nanyi Waume WAPENDENI wake zenu...."
Kwa mantiki nyepesi tu Mamlaka ndogo hutii kwa Mamlaka Kuu,Mke(mamlaka ndogo) hutii kwa mamlaka kubwa(Mume).
Lakini km ilivyokuwa restrictive,Utii huo ni "km kumtii kristu" yaani katika yaliyo Mema!
Sio wewe unataka kula ndogo halafu unataka hakutii!
Mwanamke ambaye hutaka kujiinua juu ya Mwanamke sio tu anadosari katika Ubongo wake lakini anastahili Maombezi!!
Wanawake wapumbavu huzivunja Nyumba zao kwa mikono yao wenyewe-Biblia
So i call upon all fellow men to enjoy and derive pleasure paying their wives bills mpaka mwisho wa "maisha" hapa duniani!!