Wanawake Hawapendi nini?

Wanawake Hawapendi nini?

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2008
Posts
1,518
Reaction score
24
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........
 
wanawake mara zote hawaeleweki wanapenda nini depend on the wind direction,so dont trouble much thinking about their interests though they differ slightly.BUT SOME of the common ones are wanapenda kuona unawajari na kuwahurumia kwa karibu zaidi ktk mambo yao.
 
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........

Ni hayo hayo wasiyoyapenda wanaume. Yabadilishe tu ili ya-fit kwenye jinsia husika.
 
Ni hayo hayo wasiyoyapenda wanaume. Yabadilishe tu ili ya-fit kwenye jinsia husika.
Hebu nipatie na mimi labda yanaweza kunisaidia;kwasababu binafsi siwezi kujua ni yapi hayo ambayo unayamaanisha?
Endapo utayataja basi ninakuwa na mimi nimefahamu.
 
Kuolewa saaaaaaaaaaaaaaana
Yani ukimwambia utamuoa bichwa linakua kuuuuuuubwa kweli
 
We iteite lya kitee nani kakuambia wanawake wanapenda kuolewa, sisi tunachopenda ni mapenzi ya kweli mtu akujali, akuheshimu na akusikilize kuolewa ni poa kama mtu anakufanyia hayo yote siyo kuolewa ya mdomoni , nitakuoa nitakuoa maneno yanaambatana na vitendo wengi ndo tunapenda we wa wapi?
 
Ni mambo juu ya mambo, wanaume hawawafahamu wanawake na wanawake nao hawayajui ya wanaume basi ni mtafaruku, fujo songombingo mchafukoge na maelewano hafifu. Basi ndio maana BIBLE inadai wanaume wawapende wake zao na wanawake wawatii waume zao. Na hapo ndipo penye HEKIMA

Basi ni kazi kwelikweli
 
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke, pili hawataki kusikia umechoka, akitaka we lazima umpe stahili yake. Tatu usimsifie demu mwingine . Ni hayo tu MATATU.

mengine yoote ni mbwembwe tu.
 
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke, pili hawataki kusikia umechoka, akitaka we lazima umpe stahili yake. Tatu usimsifie demu mwingine . Ni hayo tu MATATU.

mengine yoote ni mbwembwe tu.

- tIGO?
 
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke, pili hawataki kusikia umechoka, akitaka we lazima umpe stahili yake. Tatu usimsifie demu mwingine . Ni hayo tu MATATU.

mengine yoote ni mbwembwe tu.


kazi kweli kweli.
 
Mwanamke hapendi umwambie ukweli.........ukisema ukweli tu juu yake umemkosa.
Mwanamke ni mtu wa kupendwa kudanganywa kama mtoto mdogo.......hapo sawa.
 
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........
Wanapenda kupendwa (mapenzi ya dhati) na kujaliwa (care).
Wasichopenda: Kudanganywa.
 
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke, pili hawataki kusikia umechoka, akitaka we lazima umpe stahili yake. Tatu usimsifie demu mwingine . Ni hayo tu MATATU.

mengine yoote ni mbwembwe tu.


AKITAKA NINI SASA?sio kweli kwamba hawataki kusikia umechoka!NAPINGA HILO.....!wanawake wanajua sana kujali na kumpa mtu courage hasa akichoka
 
Mwanamke hapendi umwambie ukweli.........ukisema ukweli tu juu yake umemkosa.
Mwanamke ni mtu wa kupendwa kudanganywa kama mtoto mdogo.......hapo sawa.

UPO SAHIHI!lakini mkuu tatizo la wanawake ni kwamba hawataki kuumizwa,au kuteseka moyoni kwa jambo lolote la kimahusiano.ndio maana wanaona bora umdanganye ili ASIUMIE!

na siku zote wanawake huwa wanapenda KUTONGOZWA MARA KWA MARA!ndo maana MAPLAY-BOY huwa wanawawin sana wanawake.so mkubwa kama utabahatika kuoa uwe unamtongoza waifu MARA KWA MARA!au vp?
 
Bazazi nafikiri yuko sawa kwa alichosema. Kwenye urafiki wowote Heshima na upendo ndiyo kitu muhimu zaidi. Mengine yanakuja automatic.
 
UPO SAHIHI!lakini mkuu tatizo la wanawake ni kwamba hawataki kuumizwa,au kuteseka moyoni kwa jambo lolote la kimahusiano.ndio maana wanaona bora umdanganye ili ASIUMIE!

Mkuu na siku zote ukimwambia tu mwanamke ukweli wa kitu unacho taka kufanya juu yake basi unakuwa umekosea na utamuuzunisha rohoni....lakini ukimdanganya na kumlaghai kwa maneno mazuri na kumpeti peti aaaah swadakta unakuwa unakula bata tu kila siku.
Ndo maana uongo katika mapenzi unasaidia kwa kiasi kikubwa sana.
 
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke,
Swadaktaaaaaaa........
Mwanamke hapendi umwambie ukweli.........ukisema ukweli tu juu yake umemkosa.
Mwanamke ni mtu wa kupendwa kudanganywa kama mtoto mdogo.......hapo sawa.
Nyie vijana wa2 nawatukua degree ya heshima......

.....mnajua siku hizi mapenzi yamekuwa kama cinema watu wakiangalia tamthilia wanataka kuyafanya mapenzi yao kama wanavyoona kwenye cinema....hell no....
.....principles za mwanamke zinabaki pale pale ukiwa alosto hakutaki......ukimwambia ukweli unakula buti....that's all
 
na siku zote wanawake huwa wanapenda KUTONGOZWA MARA KWA MARA!ndo maana MAPLAY-BOY huwa wanawawin sana wanawake.so mkubwa kama utabahatika kuoa uwe unamtongoza waifu MARA KWA MARA!au vp?

...sijafanya bado ujinga huo! Mtu nishamuweka ndani bado tu niendelee kuomba omba na kubembeleza hata vilivyo 'halali yangu'... No way bana!
 
...sijafanya bado ujinga huo! Mtu nishamuweka ndani bado tu niendelee kuomba omba na kubembeleza hata vilivyo 'halali yangu'... No way bana!

Mkuu akikunyima je utafanyaje?
Wakati ni haki yako ya msingi upate hata kutwa mara 3.
 
Back
Top Bottom