Hivi jamani tuwe wa kweli saazingine, mfano unakutana na mkasa kama huu...unakuta mke kajitolea kweli kwa mme kwa upendo wake wote. Siku ya siku mke kazi ikaisha akawa hana kipato...then badala hata ya mumewe kumjali au kushare naye anachopata pengine anapata mashahara wa 300,000 kumpa mkwewe hata 10,000 akajinunulie mafuta inakuwa shida, na hapo hapo anaspend unwisely hizo pesa (kwenye pombe, kununulia pengine gari n.k) hivi hata kama mke alikuwa na mapenzi ya kweli hapo kutakuwa namapenzi kweli?
TYPE OF SUPRISE FOR ENGEGEMENT RING
Salamu waheshimiwa na wachangia hoja katika JAMII FORUM na kwingineko.
Kwa kifupi nategemea kumvisha mchumba wangu pete ya uchumba hivi karibu kwa hiyo naomba mnisaidie hizo aina/tendo hilo kwa ajili ya kumfanya na yeye ashangazwe na hilo jambo maana si wote huwa wanavalishwa pete ya uchumba.
Nawashukuru sana na nnamategemeo mtanisaidia kwa hilo
Hivi jamani tuwe wa kweli saazingine,.................................... kumpa mkewe hata 10,000 akajinunulie mafuta inakuwa shida, na hapo hapo anaspend unwisely hizo pesa (kwenye pombe, kununulia pengine gari n.k) hivi hata kama mke alikuwa na mapenzi ya kweli hapo kutakuwa namapenzi kweli?
Hivi jamani tuwe wa kweli saazingine, mfano unakutana na mkasa kama huu...unakuta mke kajitolea kweli kwa mme kwa upendo wake wote. Siku ya siku mke kazi ikaisha akawa hana kipato...then badala hata ya mumewe kumjali au kushare naye anachopata pengine anapata mashahara wa 300,000 kumpa mkwewe hata 10,000 akajinunulie mafuta inakuwa shida, na hapo hapo anaspend unwisely hizo pesa (kwenye pombe, kununulia pengine gari n.k) hivi hata kama mke alikuwa na mapenzi ya kweli hapo kutakuwa namapenzi kweli?
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........
...hawapendi uke wenza!
Hujanielewa ndugu, na maanisha yani hamjali mkewe na kumthani then unakuta hiyo pesa niseme pengine analewa tuu. Noana sasa utakuwa umenipata naona mfano nilioutoa ulikuwa tufauti kidogo.Penny,
Hivi kumbe mwanamke anathamini mafuta ya kujipaka kuliko gari la familia?
Wanachukia sana nyumba ndogo zinawapiku kila kitu...
Hujanielewa ndugu, na maanisha yani hamjali mkewe na kumthani then unakuta hiyo pesa niseme pengine analewa tuu. Noana sasa utakuwa umenipata naona mfano nilioutoa ulikuwa tufauti kidogo.
Wanawake hatupendi WANAUME wenye kusafiri safiri sana.
Hatupendi kabisa.
hehehe si mtakuwa mnasafiri wote.
Nimeona madereva wa malori makubwa wanasafiri na mabibi zao pembeni akijisikia hamu anaweka kushoto mchuma anajipendelea.
Mkono mtupu haulambwi.....na siku zote mapenzi ni pesa hivyo huwezi kusema mwanamke hapendi hela.
Wanawake tunapendwa "kupendwa", kuheshimiwa, mwanamme ukija nyumbani ule chakula cha nyumbani, unipe password ya bank account, tukiwa kwenye gari tuwe tunacheka sio unanuna kama umekamuliwa jipu, na mwisho kabisa uhakikishe kwamba tunapokuwa kwenye kipindi cha shughuli uwe una utundu wa "click" command ambazo ni active
FIDEl,
sikuwa nimeiona hii,
Wanawake tunapenda MAPENZI KULIKO PESA.
Pesa huja baadae saana.
Wanawake tunapendwa "kupendwa", kuheshimiwa, mwanamme ukija nyumbani ule chakula cha nyumbani, unipe password ya bank account, tukiwa kwenye gari tuwe tunacheka sio unanuna kama umekamuliwa jipu, na mwisho kabisa uhakikishe kwamba tunapokuwa kwenye kipindi cha shughuli uwe una utundu wa "click" command ambazo ni active
Huku ndo kuchunwa sasa......nimeona mwanamke anamchuna hata mmewe mmmh!