1. Kuitwa we! badala ya jina lake.
2. Akikosea,kumwonya kwa ukali na kumbwambia nilsha kwambia.
3.Wnaume wadhaifu, wasio weza kuwaprotect.
4.Wanaume wasio piga mswaki.
5.Wanaume wasio na skills yeote, wapowapo tuu, uvivu.
6.Wanaume wabahiri, wasiopenda kuwanunulia hata kitu kidogo.
7.Wanaume wasio na mwelekeo, waio na plan, kila kitu lazima waulize,
8.Wanaume wachafu.
9.Wanaume wavivu kuwasiliana, hadi umpigie.
10.wanaume wasio jua kuvaa. vaa ovyo ovyo size kubwa kupi kiasi, rangi mchanginyiko kwenda front.
11.Wenye mashine ndogo (unajua namanisha nini).
12.Wasio nyoa mindevu.
13.Wanaume wasio onyesha ufundi wowote uwanjani. pasi zilezile miaka nenda rudi.
14.Unpopular men . upo upo tu hakuna unacho ifanyia jamii.
kazi kweli