Wanawake hawawezi kuvumilia ukweli

Wanawake hawawezi kuvumilia ukweli

BABA JUICE

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
426
Reaction score
54
Kuna huyu mwanamke ambaye nikiwa kijana nilimfuatilia kwa muda wa miaka minne alikuwa bikra hakuwai kumuona mwanaume..tumekuwa marafiki kwa muda wote huo..sasa ikafika kipindi urafiki ubadilike tuwe wapenzi basi akataka niewe wazi, nikamwambia hisia zangu na ukweli kuhusu maisha yangu yote ya mapenzi......huwezi amini aliondoka akiwa kawaida lakini toka siku hiyo mawasiliano yakapungua na sikumuona tena na sababu zikawa nyingi. mwisho wasiku alimpata mtu ambaye alikuwa mchafu kuliko mimi. so women why you cant handler the truth?
 
Kuna huyu mwanamke ambaye nikiwa kijana nilimfuatilia kwa muda wa miaka minne alikuwa bikra hakuwai kumuona mwanaume..tumekuwa marafiki kwa muda wote huo..sasa ikafika kipindi urafiki ubadilike tuwe wapenzi basi akataka niewe wazi, nikamwambia hisia zangu na ukweli kuhusu maisha yangu yote ya mapenzi......huwezi amini aliondoka akiwa kawaida lakini toka siku hiyo mawasiliano yakapungua na sikumuona tena na sababu zikawa nyingi. mwisho wasiku alimpata mtu ambaye alikuwa mchafu kuliko mimi. so women why you cant handler the truth?

Na wewe ni mchafu? ni degree tu?Mchafu ni mchafu tu! Hata wewe ulikuwa humfai ni mchafu!
 
Kuna huyu mwanamke ambaye nikiwa kijana nilimfuatilia kwa muda wa miaka minne alikuwa bikra hakuwai kumuona mwanaume..tumekuwa marafiki kwa muda wote huo..sasa ikafika kipindi urafiki ubadilike tuwe wapenzi basi akataka niewe wazi, nikamwambia hisia zangu na ukweli kuhusu maisha yangu yote ya mapenzi......huwezi amini aliondoka akiwa kawaida lakini toka siku hiyo mawasiliano yakapungua na sikumuona tena na sababu zikawa nyingi. mwisho wasiku alimpata mtu ambaye alikuwa mchafu kuliko mimi. so women why you cant handler the truth?
una kasoro iliyomkwaza sana bcs alishakujua na kukukataa alikuwa na uhakika na anachokifanya.Kama ungekuwa poa lazima angekubali as far as anakujua vizuri.
 
How is that not handling the truth?

Baba Juice:
You are assuming that the reason she left is the so called truth that you revealed about yourself. Lakini , since by own words umesema alienda kwa jamaa mwingine mchafu zaidi ya wewe, ninavyoona you are the one who is not handling the plain and simple truth that, " She was just not interested "!!!!
 
Kwa miaka 8 tayari alikwisha kukufahamu vya kutosha sasa ulikuwa unataka avumilie nini wewe ni mchafu kama ulivyosema mwenyewe na hukuweza kubadili huo uchafu wako ndio maana amekukacha hayo unayosema amepata mchafu ni wewe umesema kwa vile umemkosa. Msemo wa Sungura sizitaki mbichi hizi.
 
safi sana. me nilipost thread hapa ikiuliza ni kweli kua wanawake wanpenda kudanganywa? baadhi ya watu wakanishambulia.
umeona sasa, kama ungemdanganyatu ulikua umesha chukua hyo mali, ila suala la wewe kua honest ulimpoteza.
hawa we danganyatu!
 
Hata wewe naona huwezi kuvumilia ukweli kwamba huyo mwanamke kakutosa
 
Mwanamke na mwanaume woote wapo kwa ajili ya uongo tuu hebu fikilia mwanaume unaambiwa na mwanamke kuwa amepitiwa na wanaume 10 si ungekimbia mkuu? NI USANII TU!
 
Sometimes truth haimset mtu free usibabaike na misemo ya wazungu ukai aply kwa demu wa kibongo hapa hatuwezi kuhandle hiyo kitu aisee tushazoea kudanganywa tu na atakaekwambia ukweli utamuona **** tu
 
Sijui kwa ambao hawawezi. Ukweli na uongo kwangu vinavumilika.
 
Back
Top Bottom