Naamini ana akili timamu na vitu vyote ni vyake kabisa nina uhakika na hilo,....na kiukweli sio kwamba amenizidi kipato i.e vitu kama cheni za dhahabu nina uwezo wa kununua pengine kuliko hata yeye ila napenda vitu vya asili kama vya kimasai.
..mazee bado kuacha kufuli yake 2 huyo then aondoke na yako ameshakolea huyo.....haaaah haaaah haaaaaa!!!anajitahidi kukuelewesha kwamba anataka kuishi na wewe na amekubaliana na kila kitu chako lkn wewe ndo mwamuzi wa mwisho. hivyo vitendo ni mafumbo ana maanisha chake ni chako.......
acha kumpoteza mwenzio mkuu,hlo juju anatengenezewa,we hujui mbinu za wadada nin?Jamani....Ushauri mwingine ni kama nguvu za giza. Hivi huyo IGWE mnataka apendweje? Mwanamke akiwa simpo mnasema anataka kumroga, akiwa anapenda shopping na vitu vya anasa mnasema ana tamaa. Lipi jema?Mimi naona hiyo ni GESTURE yake tu kwako kwamba anakuwa na amani zaidi moyoni mwake pale anapoona chako ni chake na chake ni chako! Na je wewe unaweza kwenda kwake au bado anaishi na wazazi wake? Ungekuwa na uwezo wa kwenda kwake ungeweza kujua vitu anavyochukua kwako anavithamini kiasi gani!
Anataka kukupga juju huyo.
dah angalia vizuri anaweza kuwa anachukua hata nyele na nyayo zako anapeleka kwa babu, hapo hutoki tena.... usimuulize kubali matokeo
Ladies and Gentleman:
I didn't check out if the post writer is a man or women. But what she wrote is very serious issue.A month a go i solved one problem similar to this. There are lot of questions which need to be answered before getting good answers.
In shot you should ask where those things are taken to. Brothers and sisters, this world is so rotten, so many things happen in the way looks like normal, but there is a secret hidden.
I will write more about this tomorrow. i have flight to catch.
Nakubaliana na nyinyi wakuu kuna rafiki yangu mpenzi wake alihisi anatembea na mwanamke mwingine akaja kwa jamaa nakuondoka na chupi yake chafu sasa kila jamaa akienda na demu wa nje hadindi kwa huyu mpenzi mambo safi jamaa akaenda kwa mganga na kuambiwa kila kitu na akapona na kuachana na yule msichana,haya mambo yapo tena sana tu.acha kumpoteza mwenzio mkuu,hlo juju anatengenezewa,we hujui mbinu za wadada nin?
Hahaha! salamu za JF sizitaki nasubiri sms mwezi wa tatu huu vibaya hivyo Husn.Jamani mkimuona uporoto mwambieni namsalimia.
sms kwenye plate number jamani haiwezi kufika!Hahaha! salamu za JF sizitaki nasubiri sms mwezi wa tatu huu vibaya hivyo Husn.
Hahaha! nitake radhi sweety hapa Jf uko pekee mwenye hiyo namba.sms kwenye plate number jamani haiwezi kufika!
kila mtu na namba yake eeh? afadhali mpenzi tusije gongana hewani. Lol.Hahaha! nitake radhi sweety hapa Jf uko pekee mwenye hiyo namba.
Hahaha! una vituko weye,usiku mwema basi.kila mtu na namba yake eeh? afadhali mpenzi tusije gongana hewani. Lol.
haya mpnz, mi bado nalinda sungu sungu jf.Hahaha! una vituko weye,usiku mwema basi.
Naunga mkono Hoja.Sasa kama una uhakika na hayo,inaonekana hapendi muonekano wako unapovaa vitu hivyo,ndio maana anakuletea vyake ili uvae na kuwa atakavyo yeye.Hili ni tatizo kimahusiano kwani anatakiwa akukubali kama ulivyo hasa kama hivyo unavyovaa havikudhalilishi kwa namna moja au nyingine.
mhhhh sizinga, hayo ndio mahaba ya kumweka mtu wako karibu, najua nikichukua kitu chako, lazima utanitafuta tuNgoja utakapowekwa kwenye chupa ndipo utakapojua...Chukua hatua...aagh sorry kumbe hii ni kwa kina dada, kwaheri!!
Ladies and Gentleman:
I didn't check out if the post writer is a man or women. But what she wrote is very serious issue.A month a go i solved one problem similar to this. There are lot of questions which need to be answered before getting good answers.
In shot you should ask where those things are taken to. Brothers and sisters, this world is so rotten, so many things happen in the way looks like normal, but there is a secret hidden.
I will write more about this tomorrow. i have flight to catch.