Wanawake, hivi mnapotoka nyumbani huwa hamjijui kuwa mmevaa nguo fupi?

Wanawake, hivi mnapotoka nyumbani huwa hamjijui kuwa mmevaa nguo fupi?

mitishamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
697
Reaction score
111
Umetoka nyumbani kwako, umevaa kitopu kifupi na kimini kiko juu ya mapaja.
Umepanda daladala, ukisimama tabu, ukikaa tabu.
Maana ukisimama basi kile kitopu kinapanda juu angani...mambo yote njenje.
Ukikaa sasa ndo balaa...unatupiga picha abiria wenzio hadi tunapitilizwa vituo bila kujijua...maana safari inakuwa fupi mno.

Sasa pale uliposimama unahangaika kukirudisha kile kitopu chini...kila ukikirudisha kinapanda..unakirudisha kinapanda.

Na kimini nacho hivyo hivyo...unang'ang'ana kukivuta chini...hivi unadhani kitaongezeka!? Kwa nini usingenunua cha size hiyo unayotaka..yaani unapokivuta si unataka kifikie sehemu fulani..! Sidhani kama ulikosa nguo ya size hiyo unayoitamani wakati huu unapohangaika kuivutavuta.

Badilikeni bhana..! Vinginevyo tuachie tu hiyo senema.
 
stuggle for attention ina haribu maisha ya dada zetu hivihivi
 
Mitishamba hiyo ni geresha anataka uone kuwa hajapenda kuvaa hivyo (Kitop na Kimin). Sasa mwambie ainame kuchukua simu iliyodondoka chini utaona anavyohangaika.Biashara zingine hujiuza zenyewe ila zingine sharti uzitembeze.
 
Ni kujidhalilisha tu utakuta akitaniwa na boys anajifanya anakasirika kumbe hajiheshimu.wanawake tubadilike mbona tukijistir tunapendeza tu
 
Mwanamke ni mtu mzima,kwanini udhani kwamba una haki ya kumpangia cha kufanya au kuvaa,jamii ya Kiafrika ina penda sana kucontrol wanawake inaboa kiukweli.
 
mfano mzuri kbs ni clip na some picha za wema na diamond alipopanda stejin moro ...ilikuwa ni aibuu takoz nje..huku anajidai kushusha shusha.....ni upuuz wa wengi huo
 
Mavazi ni kielelezo tosha cha tabia za mtu.kama unajiheshim huwezi kuvaa nusu uchi unless ukahaba
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Wewe sio potential customer au targeted market kwa hyo ndio maana anahangaika kuficha bidhaa lakini akiwa na kundi analolitaka yeye wala hajigusi ndo kwanza atakunja kiunoni iwe fupi,sawa mkuu kwa hyo ukiona anaficha mwambie nimekuelewa halafu geuza macho angalia wengine,
 
mwanamke kimin babu,hasa ukiwa na ngozi nyororo huku umepiga heelz za kufa mtu, ila kimin raha yake uwe kwenye gari yako sio umeshika mkuki wa daladala inakua noma.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Hata mimi huwa najiuliza kwanini wanavaa vile, siwatembee tu uchi.
 
mtajuaje kilichoko nyuma ya pazia bila kulifunuaaa
 
Back
Top Bottom