FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
mwanamke kimin babu,hasa ukiwa na ngozi nyororo huku umepiga heelz za kufa mtu, ila kimin raha yake uwe kwenye gari yako sio umeshika mkuki wa daladala inakua noma.
Lakini kama ukahaba si wangu,mtu mwingine inamuhusu nini?
Fumbeni macho.
Hayo ni mawazo yenu tu, na kwakuwa wengi wenu huwa mnayapelekea mawazo yenu kwenye ngono, ndo maana mnakuwa offside!! Hivi mnajua style asili ya mwafrika katika kuvaa? Waweza chukua mfano wa filamu za kinigeria zile za kiasili au hata ile ya kina bushmen tu.......upaja nje, kitovu nje tena saa zingine hadi kwa wale mabinti unakuta vititi vipo nje kabisa!! Sasa kwangu mimi ukahaba utoke wapi??
Kuvuta au kutokuvuta it's my bussiness, ni hiari yangu na haimuhusu mtu mwingine,huyo anayekereka hana kazi na muda wake.
Ndio maana nikauliza mtu mwingine inamuhusu nini to start with,nipandishe nishushe yeye haimuhusu hata hivyo.