Lol..wanawake bana!
Wanamegwa,
Wanachakachuliwa,
Wanaliwa,
Haya maneno yote yanakubalika?
Mimi nawaheshimu sana wanawake,maneno ya kuudhi kila jamii yapo<br />
muhimu ni wewe unaamua kushiriki vipi?<br />
kutumia maneno sahihi ya heshima au na wewe uta go with the flow???????
Mimi nawaheshimu sana wanawake,
Nakuwa selective sana pale ninapoadress ishu ambayo itawakera dada zetu!
Nilimmega demu mmoja nikampa mshiko akanitukana mbaya, akaniambia unanipa pesa za nini? umeniona mimi malaya sio akaniambia dont do it again, akaniambia i make love with you because i love you not your money. hanipip akiwa nashida na mimi, anakwenda hewani, tokitoka out for lunch, some time she pay some time i pay.
HayakubalikiLol..wanawake bana!
Wanamegwa,
Wanachakachuliwa,
Wanaliwa,
Haya maneno yote yanakubalika?
weee Shosti!!!! hee!kuhongwa raha sana..
Hii misamiati!!Wakuu mmesahau na neno la kusuguliwa.
Lol..wanawake bana!
Wanamegwa,
Wanachakachuliwa,
Wanaliwa,
Wanatiwa,
wanabanjuliwa
wanadandiwa
Haya maneno yote yanakubalika?
Zawadi ni zawadi we chukua tu... huenda anakupa kwa kumfikisha?Mimi ukinipa pesa/zawadi papo hapo ntajiona malaya, kama ni zawadi bora unipe siku nyingine......
Umeona ee, mimi ukikataa hela yangu,kuhongwa raha sana..
<br />Yah kama anao owezo why not, ila kwa mfano unatoka na msichana hana kazi au mwanafunzi bado lazima umpe nguvu mwendo
<br /><b>Nilimmega demu mmoja nikampa mshiko akanitukana mbaya, akaniambia unanipa pesa za nini? umeniona mimi malaya sio akaniambia dont do it again, akaniambia i make love with you because i love you not your money. hanipip akiwa nashida na mimi, anakwenda hewani, tokitoka out for lunch, some time she pay some time i pay.</b>