martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 863
- 1,462
Aisee!!!Maua/florida huwa hayana maisha marefu hata ukiyapenda kiasi gani!
Duuh!! Basi kibokoMungu alimfanya Mwanamke kama fake ya mwanaume.....hakumia nguvu nyingi kumuanda bali alikopy tu kutoka kwa me to fe....
Thus y Og inadumu kuliko fake.........
Huwa Zina nini?Hivi mimba mnazijua nyie?
Huwezi elewa mpaka uiexpirience.Huwa Zina nini?
Shida Sina wa kunipa hiyo mimba ama wewe unaweza kunipa ujauzito na Mimi nipate experience.Huwezi elewa mpaka uiexpirience.
Nijiue kwanza jinsia yako ndio naweza just Nani anaweza kukupa ujauzito.Shida Sina wa kunipa hiyo mimba ama wewe unaweza kunipa ujauzito na Mimi nipate experience.
Mimi Ni mwanamkeNijiue kwanza jinsia yako ndio naweza just Nani anaweza kukupa ujauzito.
kwaiyo unataka kusema msipo beba mimba mnaweza kuwa kama wanaumeHivi mimba mnazijua nyie?
Sasa mbona wajane ni wengi kuliko wanaume[emoji23][emoji23][emoji23]Indeed women have a very short shelve life
Za kutoa au za kuzaaaHivi mimba mnazijua nyie?
Ulishasikia mimba inatolewa labor?hapa naongelea mimba zinazoenda labor labourZa kutoa au za kuzaaa
Hahaha kwani wee ulishazaloshwa?Hivi mimba mnazijua nyie?
Chap kwa haraka!Hahaha kwani wee ulishazaloshwa?