Wanawake jamani mnakwamaa wapi

torotoro

Member
Joined
Sep 11, 2019
Posts
11
Reaction score
5
Nilitaka kufaham wanawakee nyie mnajiita waremboo mnakwamaa wapi mwanamkee unakuwa na mikuchaa kama shetani unafugaa kuchaa mpaka kula inakuw taabu kwenu urembo gani wa hivyo
 
We nae emu tutolee mambo ya ajabu asubuhi yote hii, nani ushakutana nae anakucha kama hizo?
Hivo vitu unavyookota mitandaoni uwege unajadili peke yako na halmashauri yako ya kichwa.

Nimefungua Uzi nikidhani tunakwama kwenye mambo ya maana kumbe unajaribu kutufananisha sie na huo ushubwada wa kuokota mtandaoni? Muone vile
 
Bado kidogo nikitapike kiporo changu cha wali maharage,toa uchafu huo,uzi gani huu
 
 
Sijawahi kukutana na shetani wa aina hii aisee!
 
KUCHA za kubandika hizo, na sio za kufuga Kiongozi.

Msafi wa kucha za kubandika ukitaka kumchunguza, fanya hivi:-

Kamata KIGANJA chake cha MKONO, kisha anza kukagua KIDOLE kimoja baada ya kingine kwa nyuma.

Ukiona KUCHA za Asili kwa Nyuma zipo Safi, basi ujue huyo anazisafisha.

Na ukiona CHAFU, au zina rangi za ajabu ajabu ujue hapo USAFI sifuri.

Na kwa anaejali usafi wa KUCHA, muda wa kufanya USAFI au KUPIKA, au shughuli zingine zozote za Nyumbani za kutumia MKONO/MIKONO huwa wanavaa GLOVES
 
Groves? Mateso hayo yote ya nini?
 
Labda huko kwenu.

Me huku nilipo sijawai ona watu wa dizain hiyo
Hata Mimi sijawahi kukutana na demu wa type hii but I do believe watakuepo na huyu hawezi kuwa mwanamke hili ni jini tena jini sambusa
 
Aise utafikiri yale majini ya kwenye bongo movies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…