Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
๐จ๐ต๐น Je wajua kuwa Cristiano Ronaldo hakutakiwa kuzaliwa Na mama yake ?
Alipogundua kuwa ni mjamzito alienda kwa Daktari kwa ajili ya kutoa mimba, kwa sababu familia yao ilikuwa masikini kiasi kwamba hawakuruhusu wapate mtoto mwingine.
"Nilipokwenda kwa daktari, niliona kwamba skuweza hata kumudu gharama za kumlea Cristian Kwa hiyo nilijaribu kutoa mimba aikuwezekana nilikunywa kiasi kikubwa cha pombe na kufanya mazoezi bila kunywa maji , lakini hakuna chochote kilichofanya kazi, na skujua kuwa mtoto wangu atakuwa mchezaji bora wa mpira duniani"
๐๏ธ Amesema: Maria Dolores dos Santos Viveiros da Aveiro. Mama Wa mchezaji Wa Al Nassr FC Cristiano Ronaldo.
GOAT ๐๐.
Alipogundua kuwa ni mjamzito alienda kwa Daktari kwa ajili ya kutoa mimba, kwa sababu familia yao ilikuwa masikini kiasi kwamba hawakuruhusu wapate mtoto mwingine.
"Nilipokwenda kwa daktari, niliona kwamba skuweza hata kumudu gharama za kumlea Cristian Kwa hiyo nilijaribu kutoa mimba aikuwezekana nilikunywa kiasi kikubwa cha pombe na kufanya mazoezi bila kunywa maji , lakini hakuna chochote kilichofanya kazi, na skujua kuwa mtoto wangu atakuwa mchezaji bora wa mpira duniani"
๐๏ธ Amesema: Maria Dolores dos Santos Viveiros da Aveiro. Mama Wa mchezaji Wa Al Nassr FC Cristiano Ronaldo.
GOAT ๐๐.